Niulize chochote kuhusu Lushoto

Niulize chochote kuhusu Lushoto

Status
Not open for further replies.
kwanini view point wanashika kiingilio hadi kwa wazawa na pia kwanini vijana wa huko wengi ni wavivu wanapenda mapenzi tu mm nimekaa huko hadi primary nilisoma Hazina Alafu ni kweli kuwa raisi Kikwete alikaa kota za Hazina enzi hizo na wazazi wake wakiwa watumishi wa serikali?
 
Sisi wa Enzi hizo hivi lile disco letu green valley na hub club yapo?totoz za mazinde juu,kifungilo,shambalai,kongei gonga sana zile Enzi izo na mhuni mmoja alikua kinyozi sijui bado Suma yupo jamani???

daah blaza,suma yupo ila ndio vile tena afya ime yumba kaka.
 
kwanini view point wanashika kiingilio hadi kwa wazawa na pia kwanini vijana wa huko wengi ni wavivu wanapenda mapenzi tu mm nimekaa huko hadi primary nilisoma Hazina Alafu ni kweli kuwa raisi Kikwete alikaa kota za Hazina enzi hizo na wazazi wake wakiwa watumishi wa serikali?

Sidhani kama vijana wa lushoto ni wavivu kwa ujumla wake. Utafiti unaonyesha Vijana wa huko ni Wachapa kazi ukiacha wavivu wachache ambao wapo kila eneo la Nchi Hii. Kuhusu kutozwa kiingilio kwa Wazawa eneo la view point hili ni tatizo kubwa MKUU, inaonekana hawa jamaa wako juu ya sheria kwani wamekataa kutii hata amri ya MKUU wa wilaya iliyowataka waondoe vikwazo kwa Wazawa.
 
Sidhani kama vijana wa lushoto no wavivu kwa ujumla wake. Utafiti unaonyesha Vijana was huko ni Wachapa kazi ukiacha wavivu wachache ambao wapo kila eneo la Nchi Hii. Kuhusu kutozwa kiingilio kwa Wazawa eneo la view point hili ni tatizo kubwa MKUU, inaonekana hawa jamaa wako juu ya sheria kwani wamekataa kutii hata amri ya MKUU wa wilaya iliyowataka waondoe vikwazo kwa Wazawa.

Nimesikia ni ya rais Mkapa. Kama kweli, then penye bold ni sahihi.
 
Sidhani kama vijana wa lushoto no wavivu kwa ujumla wake. Utafiti unaonyesha Vijana was huko ni Wachapa kazi ukiacha wavivu wachache ambao wapo kila eneo la Nchi Hii. Kuhusu kutozwa kiingilio kwa Wazawa eneo la view point hili ni tatizo kubwa MKUU, inaonekana hawa jamaa wako juu ya sheria kwani wamekataa kutii hata amri ya MKUU wa wilaya iliyowataka waondoe vikwazo kwa Wazawa.
Kweli mkuu umejibu vema.. Uko pande gani pale Lushoto. mimi nilikuwa pale mjini kwa juu kidogo
 
Lushoto ni pazuri sana. Nitarudi tena na tena Lushoto. Kunaliwaza sana hasa ukiwa na mastress yako ya huku mijini.
Nimeskia hayati Nyerere, walipojaribu kumpindua, alienda kutuliza mawazo Ikulu ya Ushoto. Natamani sana kuiona ila hayo ya korodani yamefanya niwaze mara mbilimbili.

Lushoto ni wachapakazi. Japo milimani ila kumelimwa sana tu. Na ukiwa Tanga mjini, ukiacha wahindi na waarabu, washambaa nao wanamiliki uchumi kwa kiasi kikubwa tu. Big up Shehoza wa malori na wengineo... Huku Arusha biashara ya teksi wameikamata hasa. Ah... karibu ningesahau.... nao kwa totoz wamo!! (on a light note)
 
Na pia mkapa amejenga hotel ya kitalii huko

Ndo hiyo Irente mkuu. Pia nimeshuhudia shamba lake jirani na la Mullers. Pazuri sana.
Viongozi wengi sana wamekamata ardhi kubwakubwa huko Lushoto.
Laiti wangejibidisha kuyaendeleza kama Mkapa (mashamba makubwa ya kisasa yenye mahoteli, etc.), Lushoto itakua sehemu nzuri sana kwenda kula bata.
 
Kweli mkuu umejibu vema.. Uko pande gani pale Lushoto. mimi nilikuwa pale mjini kwa juu kidogo

Na Mimi nilijua kwa vyovyote uliishi pale mjini kwani ndio unaweza kuwapata Vijana wa kijiweni. Mimi hapo karibu na view point ndio nyumbani. Ila shughuli zangu haziko huko.
 
Lushoto ni kuzuri kwa kweli cwezi fananisha na wilaya nyingine yoyote hapa tz

we bwana wee una ijua lushoto vizuri ama una ongea tu? kero ya lushoto kipindi cha mvua kuna tope la hatari na kipindi cha jua kuna vumbi balaa,mji hauja jengeka kabisa na hauna mpangilio,hapo sokoni ndio holela holela hta stand ya mabasi ni ya hovyo kabisaaa mpaka ime vunjwa siku hizi,mzunguko w hela ni mdogo na wakazi wengi w a lushoto wana kipato cha chini sana kwA kifupi lushoto bado sana licha ya kuwa ni mji mkongwe lakini hauingii kwa korogwe hata kidogo.
 
Na Mimi nilijua kwa vyovyote uliishi pale mjini kwani ndio unaweza kuwapata Vijana wa kijiweni. Mimi hapo karibu na view point ndio nyumbani. Ila shughuli zangu haziko huko.

Mbona kama nakujua wewe? una mpata pascal manguruwe?
 
Pascali yupi aliyejenga karibu na view?

sijui kama ndie yeye anae jenga hapo view point but naona kuna mjengo umeota upande wa chini ya barabara,jmaa ni mwenyekiti wa mtaa sijui? halafu ana choma kitimoto pale family.
 
Hahahaha Mkuu naona umekua wamoto mie mwenyewe mpita njia tu huku!
Khaa! Nikadhani Kuna kambi ya wajeda hapo msituni kumbe mbwembwe zoote mnazungumzia polisi.

Pindi naishi Nyakabungo Mza kuufikia msitu unaomzunguka RC Mashishanga (by then) it was less than 15min(on foot).Mule msituni kulikuwepo kambi ya jeshi(kwa mujibu wa wenyeji wangu) Lakini kwa wakati huo kambi ya vibaka nayo ilikuwa humo humo msituni na wakikukaba barabarani,wanatokomea na wewe msituni na tukio la uchunaji ngozi limewahi kurepotiwa hapo.

Mkuu mtakuwa mnaogopa uniforms tu hakuna watu hapo.
 
Pia ni eneo ambalo Watalii hutembelea kwa kurudia rudia, Mtalii anapofika kwa Mara ya kwanza hupanga safari nyingine si tu kutembelea maeneo ambayo hajatembelea bado, lakini pia hata yale ambayo tayari ametembelea. Hii ni kutokana kuwepo maeneo na pia mandhari ya kuvutia mfano, msitu wa mazumbai, Irente view point, magamba forest, sakarani Irente biosidervity reserve n.k.

kweli kabsa mkuu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom