Unapenda wanaojiuza acha udomo zege mbona ukitongoza wepesi tu hao unagonga
Wenyeji wa Wilaya hii ni Wasambaa 'wagosi wa ndima' ni wilaya ambayo ipo katika milima ya usambaa, hali ya hewa ni baridi kipindi kikubwa cha mwaka, na kunalimwa sana mazao mbalimbali kama mahindi, makabichi, matunda aina mbalimbali, viazi nk
Mimi ni mtu wa Sinza. mambo ya kutongoza na miadi na ahadi za njoo kesho. hatukuzizoea Africa sana na Meeda wametuharibu. nalipa napiga naendelea mbele
Mpaka Bamaga mkuu,kuna pale Ustawi,mbona unafupisha Search Area?kwani watu wa sinza ndio hawatongozagi? au kwa kuwa malaya ni wengi kuanzia san ciro mpk ambiance
kwani watu wa sinza ndio hawatongozagi? au kwa kuwa malaya ni wengi kuanzia san ciro mpk ambiance
bategereza
mtanruhusu niwe shem ?
Ikulu hii ya Lushoto ni nzuri kuliko hii mnayofahamu hapa Dar japo ile ina zaidi ya miaka mia na ushee
Mwenyewe nimeoa Lushoto. nawaheshimu sana hawa jamaa kwa kunipa jjiko zuri na lenye heshima kupitiliza.
hapo ndipo ulipokosea, wasambaa ni mchanganiko wa makabila mbali mbali waliosambaa katika milima ya usambara baada ya kuhama sehemu zao na kwenda usambaani kwenye ardhi yenye rutuba,hakuna mbondei lushoto...wenyeji wa wilaya hii ni Wasambaa
Weka picha kiongozi.
Acha nikuelimishe. Kuna watu wanaopenda wake za watu. hawa lazima watongoze au watumie kuwadi. Kuna wanaopenda loose ball aka manungayembe aka michepuko hawa nao lazima wafanywe ATM na watongoze na watumie ngarama za kugegedea gesti. Kuna sisi ambao hatutaki relationship na ndio tulio wengi. unagonga mnaachana hata akikuona kesho hawezi kukuomba bia wala soda. Halafu sisi hatuna gharama ya ggesti. kwenye gari au chochoro na Sinza ziko nyingi. mnatandika box mambo yanakwenda.We differ. nimeona mbunye ni ile ile kwanini complications.
Huko Lushoto kuna nini cha zaidi cha kujivunia au ambacho kinapatikana kwa wingi kuliko sehemu nyingine...., kuna fursa zozote ?
hakuna mbondei lushoto...wenyeji wa wilaya hii ni Wasambaa