Niulize Chochote Kuhusu (CLINICAL NEDICINE)

Niulize Chochote Kuhusu (CLINICAL NEDICINE)

Vyote Vya Serikali Viko Vizuri! Ila Naweza Kuizungumzia Mtwara COTC Ni Kizuri Maana Ndipo Nilipo! Ni Kizuri (SHULE IPO, WALIMU, MAJI, UMEME ,HOSPITAL + MAJENGO) Karibu
Sijapenda jina lako hapo juu. It seems wewe ni mwalimu halafu unajipa ID ya hivyo! Sensible man atashindwa hata kukuuliza lolote questioning your credibility with such names/ID. If you can change it please.
 
Sijapenda jina lako hapo juu. It seems wewe ni mwalimu halafu unajipa ID ya hivyo! Sensible man atashindwa hata kukuuliza lolote questioning your credibility with such names/ID. If you can change it please.
Nimekuelewa Nitalifanyia Kazi.
 
AMO sio sawa na MO..
AMO ni Assistant Medical Officer na uyo AMO ni Medical officer...
AMO ana hold Advance diploma in medicine wakati MO anahold degree ya udaktari...ambayo tunaita Doctor of medicine(MD) na wengine wanaita Bachelor of medicine and bachelor of surgery (MBBS)...

kwa iyo Amo ni mdogo kwa Mo....
sawa kijana
Unajua maana ya neno 'equivalent' ?... Naona unakurupuka kama watoka usingizini
 
Ndio CO anaweza kuunga direct MD endapo hajapata ajira ya serikali. Ukiwa umepata ajira serikalini ni lazima ufanye kazi miaka mitatu ndipo uombe kwenda kusoma na utapata ruhusa.
Kwani ajira ni moja kwa moja Toka wizara
 
Jamani tuwekeeni title za vitabu.. text books- vinavyotumika katika kozi hii.
 
Unajua MD wa hapa Tz wanadharau sana, na bahati mbaya sana katika hospitali nyingi za wilaya AMO ndo wapo wengi na ndio wanaotegemewa, wanauzoefu na ufanisi mkubwa sana katika kazi kuliko hawa freshmen 'MDs) lakini dharau iliyopo katika 'medicine' asee! inatia kichefuchefu.
 
Back
Top Bottom