Niulize Chochote Kuhusu (CLINICAL NEDICINE)

Niulize Chochote Kuhusu (CLINICAL NEDICINE)

Hatazikosa kivipi tena... Hamna ratiba
Kumbuka Clinical Medicine Ni Full Time Course! Na Hakuna Ratiba Ya Kwenda Hospital. Kuna Muda Wenzio Watahitajika Au Wataenda Wodini Yeye Akawa Hayupo! Na Kukaa Nje Gharama Pia! Mim Nakwambia Kwa Sababu Nilisoma CO! Now Ni AMO! Nimepitia Maisha Yote Ya Day + Hostel. Ila Unaweza Kumpeleka Day. Asante
 
Ndio CO anaweza kuunga direct MD endapo hajapata ajira ya serikali. Ukiwa umepata ajira serikalini ni lazima ufanye kazi miaka mitatu ndipo uombe kwenda kusoma na utapata ruhusa.
Chuo Gani Mkuu Unisaidie? Asante
 
Mdogo Kwa Kauli Zako Mkuu Na Maandishi!!! But In Practice Hao MD Wengi Ni Vilaza! Sikatai MD Ni Wakubwa.
Labda nikujulishe tu ukilaza wa mtu unategemea na mtu mwenyewe. Mimi pia nimepitia huko C.O miaka mingi iliyopota na nimefanya kazi tena hapo Mtwara, hata ma C.O wapo vikaza hata kufanya incision and drainage hawajui. Labda unisaidie how do you define ukilaza
 
Labda nikujulishe tu ukilaza wa mtu unategemea na mtu mwenyewe. Mimi pia nimepitia huko C.O miaka mingi iliyopota na nimefanya kazi tena hapo Mtwara, hata ma C.O wapo vikaza hata kufanya incision and drainage hawajui. Labda unisaidie how do you define ukilaza
Sipo Kwa Ajili Ya Kubishana Mkuu! Na Neno Langu Sio Sheria Asante.
 
Kumbuka Clinical Medicine Ni Full Time Course! Na Hakuna Ratiba Ya Kwenda Hospital. Kuna Muda Wenzio Watahitajika Au Wataenda Wodini Yeye Akawa Hayupo! Na Kukaa Nje Gharama Pia! Mim Nakwambia Kwa Sababu Nilisoma CO! Now Ni AMO! Nimepitia Maisha Yote Ya Day + Hostel. Ila Unaweza Kumpeleka Day. Asante
Asante kwa ushauri mzuri
 
Unajua MD wa hapa Tz wanadharau sana, na bahati mbaya sana katika hospitali nyingi za wilaya AMO ndo wapo wengi na ndio wanaotegemewa, wanauzoefu na ufanisi mkubwa sana katika kazi kuliko hawa freshmen 'MDs) lakini dharau iliyopo katika 'medicine' asee! inatia kichefuchefu.
Kweli Mkuu.... Wengi wanajiona
 
Back
Top Bottom