Niulize Chochote Kuhusu (CLINICAL NEDICINE)

Jaman haya masuala ya curriculum huwa yana badilika kuendana na uhitaji wa wizara...

Mimi naomba nishauri Kitu ila neno langu si sheria lakini...

Haya masuala ya kutaka kujua modules zinazotumika ni zipi ili mtu aanze kuzipitia embu acheni kwanza, shughulikia lililopo mbele yako kwa sasa kama unatakiwa kusubiri join instructions zisubiri then karipoti uliko pangiwa

Masuala ya elimu sometimes unaweza kusema ngoja nijaribu kuanza kuvipitia kumbe unajichanganya mwenyw tu

Neno langu si sheria lakini naomba ufuate maelekezo ambayo utakayopewa pale utakapo report

That's all
 
Jaman haya masuala ya curriculum huwa yana badilika kuendana na uhitaji wa wizara...

Mimi naomba nishauri Kitu ila neno langu si sheria lakini...

Haya masuala ya kutaka kujua modules zinazotumika ni zipi ili mtu aanze kuzipitia embu acheni kwanza, shughulikia lililopo mbele yako kwa sasa kama unatakiwa kusubiri join instructions zisubiri then karipoti uliko pangiwa

Masuala ya elimu sometimes unaweza kusema ngoja nijaribu kuanza kuvipitia kumbe unajichanganya mwenyw tu

Neno langu si sheria lakini naomba ufuate maelekezo ambayo utakayopewa pale utakapo report

That's all
Ndio ndio mkuu
 
Mimi nimemaliza CA nimeomba CO nimepata chuo cha kilosa COTC nataka niunganishe....nataka nijue tutaenda lini chuo au mtu mwenye namba za mkuu wa chuo au rafiki yake hapo kilosa COTC anisaidie
 
Mimi nimemaliza CA nimeomba CO nimepata chuo cha kilosa COTC nataka niunganishe....nataka nijue tutaenda lini chuo au mtu mwenye namba za mkuu wa chuo au rafiki yake hapo kilosa COTC anisaidie
Kuna ndug yang mmoja kachaguliwa hapo....labda nikuunganishe nae mupeane mawili matatu
 
Habari Wadau Kwa Mwenye Maulizo Yoyote Kuhusu Course Ya Clinical Medicine (CO & CA)
Usisite Kuuliza Hapa:
1. Admission
2. Modules
3. Mikopo
4. Life La Kitabu
5. Maswali
6. Ushauri
7. Msaada Wowote.
Kunamtu nilimsikia mahali akisema matabibu malipo yao ya mishahara ni makubwa zaidi kuliko farmasists .Pia upatikanaji wa kazi nje ya nchi ni mkubwa zaidi kwa matabibu kuliko farmasists, sijui kuna ukweli kiasi gani hapo mkuu. Ahsante .
 
Kunamtu nilimsikia mahali akisema matabibu malipo yao ya mishahara ni makubwa zaidi kuliko farmasists .Pia upatikanaji wa kazi nje ya nchi ni mkubwa zaidi kwa matabibu kuliko farmasists, sijui kuna ukweli kiasi gani hapo mkuu. Ahsante .

Maafisa tabibu(Clinical officers) na mafundi sanifu wa madawa (Pharmaceutical technicians) wote wana diploma hivyo mishahara yao inalingana TGHS B (=680000)

Upatikanaji wa kazi za nje siwezi kuusemea

Ni vizuri mtu akasome kitu anachokipenda na sio kuangalia pesa pekee..Sera hubadilika
 
Maafisa tabibu(Clinical officers) na mafundi sanifu wa madawa (Pharmaceutical technicians) wote wana diploma hivyo mishahara yao inalingana TGHS B (=680000)

Upatikanaji wa kazi za nje siwezi kuusemea

Ni vizuri mtu akasome kitu anachokipenda na sio kuangalia pesa pekee..Sera hubadilika
Nashukuru mkuu kwa jibu zuri.
 
Chuo Gani Mkuu Unisaidie? Asante
Dah mkuu wewe ni AMO unataka kuniambia hujui vyuo vinavyotoa MD. Okay kwa kukujulisha ni kwamba vyuo vyote nchini vinavyotoa MD vinadahili pia ma C.O kwa kutumia cheti cha diploma chenye GPA ya 3.0 kama equivalent qualification. Zamani tulipoingia sisi walitumia GPA ya 2.7
 
Dah mkuu wewe ni AMO unataka kuniambia hujui vyuo vinavyotoa MD. Okay kwa kukujulisha ni kwamba vyuo vyote nchini vinavyotoa MD vinadahili pia ma C.O kwa kutumia cheti cha diploma chenye GPA ya 3.0 kama equivalent qualification. Zamani tulipoingia sisi walitumia GPA ya 2.7
Is it not 3.5 for MD? confirm that please.
 
Back
Top Bottom