Niulize Chochote Kuhusu (CLINICAL NEDICINE)

naombeni msaada wakuu kwa yoyote mwenye joining instruction ya diploma in clinical medicine UDOM anitumie whatsapp kwenye namba 0756508817...nisaidieni wakuu
 
naombeni msaada wakuu kwa yoyote mwenye joining instruction ya diploma in clinical medicine UDOM anitumie whatsapp kwenye namba 0756508817...nisaidieni wakuu
Mkuu...diploma ya clinical medicine UDOM??? Ndyo nasikia kwako
 
Mi nimechaguliwa Decca ..kwa anaejua anipe dondoo kidogo
Habari Wadau Kwa Mwenye Maulizo Yoyote Kuhusu Course Ya Clinical Medicine (CO & CA)
Usisite Kuuliza Hapa:
1. Admission
2. Modules
3. Mikopo
4. Life La Kitabu
5. Maswali
6. Ushauri
7. Msaada Wowote.
Vyuo vinavyotoa pharmacy ni hivi, mbona kuna vyuo vingine ambavyo havijawa registered kutoa kozi hiyo na vinatoa? Mwisho wa wanafunzi nini? The most likely outcome ni kutotambuliwa vyeti vyao? Unasemaje mtaalamu
Approved Institutions
The following training institutions in Tanzania Mainland have been approved to offer pharmacy programs. These are as follows:-

  • Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS), Dar es salaam- Offering Bachelor Degree of pharmacy and Diploma in Pharmaceutical sciences
  • St. John’s University of Tanzania (SJUT), Dodoma - Offering Bachelor Degree of pharmacy
  • Catholic University of Health and Allied Sciences (CUHAS), Mwanza - Offering Bachelor Degree of pharmacy and Diploma in Pharmaceutical sciences
  • Kilimanjaro School of Pharmacy (KSP), Moshi – Offering Diploma and certificate in Pharmaceutical sciences
  • Ruaha University College (RUCO) in Iringa – Offering Diploma in Pharmaceutical sciences
  • Royal Pharmaceutical Training Institute LTD, DSM –Offering certificate in pharmaceutical Sciences
  • St. Peters College of Health Sciences, DSM- Offering certificate in pharmaceutical Sciences
  • Paradigm College of Health Science, DSM – to offer certificate in pharmaceutical Sciences.
  • Gataraye College of Health Science, DSM - to offer certificate in pharmaceutical Sciences.
 
Mkuu Mimi Nipo CMT 4 naona tuatumia module vipi kuna haja Nitumie vitabu Au niendelee Na kukomaa Na hizo manual?
 
Mkuu Mimi Nipo CMT 4 naona tuatumia module vipi kuna haja Nitumie vitabu Au niendelee Na kukomaa Na hizo manual?
Module nyepesi mno pitia module ya surgery, obgy utaona kuna tatizo kwenye module unaweza ukafaulu mitihani vizuri kwa kusoma modules ila kichwani hakuna kitu.
 
Mdogo Kwa Kauli Zako Mkuu Na Maandishi!!! But In Practice Hao MD Wengi Ni Vilaza! Sikatai MD Ni Wakubwa.
Boss usifananishe MD na vitu vya ajabu. Hamna MD anaejielewa akawa kilaza kwa AMO ndo maana AMO akitaka kuwa MD anahustle 5yrs. AMO na CO they only know "how", but MDs know "how" and "why" hiyo ndo tofauti
 
Unajua MD wa hapa Tz wanadharau sana, na bahati mbaya sana katika hospitali nyingi za wilaya AMO ndo wapo wengi na ndio wanaotegemewa, wanauzoefu na ufanisi mkubwa sana katika kazi kuliko hawa freshmen 'MDs) lakini dharau iliyopo katika 'medicine' asee! inatia kichefuchefu.
Kwa nn mkuu nani anakudharau mkuu
 
Back
Top Bottom