Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,621
- 4,311
Kama hulewi chakari,hutukani watu,hupigi watu,etc huwa unajutia kitu gani sasa?Yaani unakunywa zako pombe kisha unaenda zako nyumbani kirohoo safi kabisa halafu unajuta tena?Huwa unajutia nini?
Labda anakojoa kitandani