Nitumie njia gani niisahau pombe?

Nitumie njia gani niisahau pombe?

Kama hulewi chakari,hutukani watu,hupigi watu,etc huwa unajutia kitu gani sasa?Yaani unakunywa zako pombe kisha unaenda zako nyumbani kirohoo safi kabisa halafu unajuta tena?Huwa unajutia nini?

Labda anakojoa kitandani
 
Jamani tuacheni utani Bia na Nyama vinapatana sana[emoji41]
 
Tumia Substitution Method, kwenye nafasi ya pombe weka Mungu kisha uje kunishukuru
 
Mkuu kuna ya hospitalini naweza nikakuchanganyia na unaweza kwenda kunywa pombe ,baada ya hapo utatapika karibia kufa ila kufa ufi ila cha moto utakiona na hapo ndo itakuwa mwisho wa wewe na pombe maana utakadhubutu hali itakuwa ni ile ile.

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Mkuu msaada please wa hiyo kitu ..
 
Huwezi jilazimisha kuacha pombe! We subiri muda ukifika utajikuta umeacha


Watu tulishajaribu Kila mbinu mpaka kunywa maziwa ya nguruwe!!

Lakini tumejikuta tumeacha tu bila kujua tumeachaje
Pengine na mie ndiyo safar inaanza ya kuacha
 
Kama hulewi chakari,hutukani watu,hupigi watu,etc huwa unajutia kitu gani sasa?Yaani unakunywa zako pombe kisha unaenda zako nyumbani kirohoo safi kabisa halafu unajuta tena?Huwa unajutia nini?

Mwenyewe nimejiuliza hilo swali [emoji44][emoji44]
 
Mkuu wengne tumejaribu yote hayo lakn hamna lolote.

Mm kuna wakat nilikuwa sitembei na hela zaidi ya elfu 20 lakn nikiingia baa tu ntajikuta mpaka mwenye baa ananiongezea za ofa
Pombe ni shetan saana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom