Hii inaweza kuanza kuuzwa lini mkuu? kuna chanzo chochote unaweza ku share nasi tukasoma kwa undani zaidi. AhsanteSijakaa nakubaliana na wewe, but concern yangu, kwa maisha yetu wa Tz tulio wengi, its hard ku afford kununua 1 bit coin for 23k, instead we can focus on buying m
New Usd coin, ambayo itaanza at very reasonable price na kuna possibility kubwa ya ku mature na ku gain wealthy
Hakuna hela za urahisi namna hiyo fanyabiashara na fanyakazi upate hela mambo mengine ni kupoteza mudaBitcoin na Forex ni Pyramid business kama Mr. Kuku, Deci na Qnet????
Oyoyoyoyooo!! Una mengi ya kujifunza ndugu
Mkuu una pesa ngapi huko bitcoin?Bitcoin na Forex ni Pyramid business kama Mr. Kuku, Deci na Qnet????
Oyoyoyoyooo!! Una mengi ya kujifunza ndugu
Bado hujajua kitu mkuu,tangu lini foreign exchange ikawa piramidy scheme?? Kwamba unasawishi watu wajiunge?? This is different bro.Pyramid Business.. Hakuna cha zaidi..
Wachache wa kwanza ndio watafaidika, watakaofata ndio cha moto watakiona..
It's the likes of Mr Kuku, Deci, Qnet..
Mkuu mbona unalizimisha kufundisha watu unapata maslahi gani?Kuna mengi sana kwenye financial markets ndugu yangu.. labda nikuulize tu swali.. kwanini unasema bitcoin tumechelewa ???
Nataka kukufundisha kitu
Hiyo yani!!kwa lugha hii,na wewe ni wale wale,Humu ndani ukizungumza habari za Forex na Bitcoin, unaitwa tapeli. Iteni mpendavo lakini lazima niwachangamshe akili kidogo.
Bitcoin moja leo imefika USD 23,000 ( Kama Tzs 53 Million.
Na tarehe 16 March mwaka huu 2020, bei ya bitcoin moja ilikuwa inauzwa kwa Tzs 11 Million, maana yake ni kwamba kama uliwekeza milioni 11 mwezi march, sahiv ungekuwa na faida kama Tzs 42 Million.
Yaani ungeweza kabisa ku postpone kununua IST na ukarisk kwenye bitcoin, ungekuta sahiv unaongelea kununua Ford Ranger!!.
View attachment 1652679
Anyway, lengo la uzi wangu sio kuwatia watu machungu, najua kuna matomaso hapa wataniuliza, wewe umetengeneza faida ya sh ngapi mpaka sasa..?
Lengo langu kwenye huu uzi ni kuwakumbusha kwamba, FINANCIAL MARKETS IS REAL..
Somewhere, someone is making good monies out of it, so sio vizuri kutukana hustlers wa kwenye bitcoin na forex.
Kama kitu hutaki, potezea kimya kimya.. ila usiwavunje watu moyo.
Hivo yani.
Kwahiyo sasa hivi unaweza kuuza Bitcoin zako ukawa na Milioni hizo mkononi fasta tu cash ?
Yeah ni kweli ni kufanya research yako tu kujiridhisha na kufanya maamuziKuna cryptos sahiv zinafika zaidi ya 10,000 sio guarantee kuirukia yoyote.. hapo pia kuna akili lazima utumie mkuu.. ndo financial markets zilivo
Hivo vi coin vinasaifiaga sana.. saa nyingine mtu unaweza kuwa umefulia ukiingia kwenye wallet unakuta kama vi dola mia vinaku save.. imenitokea mara nyingi sanaHiyo march kuna watu walipanick wakauza btc zao zote, nina hakika kwa sasa wanajuta.
Nami ngoja nianze utaratibu wa kuacha angalau 20% kwenye wallet yangu maana kila wiki nalipwa hizo btc, baada ya mwaka nadhan nitakuwa nimekusanya za kutosha!
Tapeli nipo mzigoni.. Kaa chonjoWaite Waite
Mjomba Mpoto Fts Banana Zoro
Huo Wimbo Nyoko Sana
πππ€£ππ
Sawa mwananchi mjanja, usiyependa kutapeliwa..Hiyo yani!!kwa lugha hii,na wewe ni wale wale,
Taperi tu,
Utajiri ni siri,ukiona mtu anakuambia njoo huku Kuna pesa,tukipiga deal flani,jua huo ni wizi mtupu.
Mkuu mbona unalizimisha kufundisha watu unapata maslahi gani?
Sawa mwananchi mjanja... Endelea kuwa mjanja hivo hivo ukidhani kila mtu anawinda hiyo hela yako..Unavyo ongea ni rahisi sana kuliko uhalisia wenyewe ukisha ingia kwenye hizo mambo, usifikirie watz ni wajinga kwamba hawazijui wanazijua sana ila risk zake ndo zinasababisha wazitupie kisogo.
N:B hakuna mtanzania atakae kulazimisha upate pesa uwe millionaire ili hali nae ana njaaa, ukiitiwa fulsa ujue ww ndo fulsa kwake
Mkuu utapoteza energy yako.. kuna kundi la watu hawataki kujifunza wanaamua kurahisisha mambo ili wajipe excuse kwanini hawafanyi jambo fulaniBado hujajua kitu mkuu,tangu lini foreign exchange ikawa piramidy scheme?? Kwamba unasawishi watu wajiunge?? This is different bro.
Usd 3,000Mkuu una pesa ngapi huko bitcoin?