Mkuu, wewe weka juhudi katika hicho unachoamini, full stopThere is only one answer in anything.
Hakunaga majibu mawili.
Sasa yupi atachomwa na yupi ataachwa?
Huoni braza aligundua hili akaamua kuachana na imani zotee maana kila mtu huvutia kwake?
#YNWA
Nani aliyekuambia Mungu ni kitu?Kila kitu kina chanzo hii ni universal principle haiwezi kutumika kwa baadhi ya vitu kisha vingine uviache. Unalazimisha uongo ukubalike kwa kanuni ya kipumbavu kama hii
Nipe chanzo cha allah, nani kamuumba
Naweka juhudi kwenye jibu lisilo sahihi?Mkuu, wewe weka juhudi katika hicho unachoamini, full stop
Naam, as long as kuna matokeo utajua hitma ikifikaNaweka juhudi kwenye jibu lisilo sahihi?
#YNWA
Tusubiri kuchomwa tu na imani zetu zisizoeleweka zinazo base Kila MOJA upande wake?Naam, as long as kuna matokeo utajua hitma ikifika
Nini maana ya mfumo wa maisha?
Na swali la kwanini atheist wengi ni wakristo lilikuwa worldwide sio Tanzania tu..Sasa hoja ya kwamba kwenye uislamu hakuna uhuru watu wanauliwa ukibadili dini au kuwa atheist inakuaje ikiwa kumbe hicho kitu kinafanyika kwa nchi zenye kufuata sharia tu? Hizo nchi za kufuata sharia ni chache kuliko nchi ambazo hazifuati sharia na kuna waislamu wengi tu mfano Tanzania,kwahiyo hoja yangu ni kupinga madai ya kwamba et waislamu huogopa kubadili dini au kuwa atheist kwa sababu ukifanya hivyo unauliwa wakati kumbe penye kufanyika hivyo ni baadhi tu ya nchi chache.
Sisi sio mafala wewe...Tambua unaongea na watu wenye akili leta Hoja za akili sio maneno ya kitoto...Sasa nani kasema nchi za kiarabu ni uislam?Haya Uislam ulishashuka chini na kukataa Rashin sio Muislam?acha kutafuta vichaka vya kitoto...Sometimes tuwe tunajadili kiungwana Bana sio kila siku unaleta vyenga vyenga mambo yaliyo wazi kabisaNdio nikakuambia huwa mnachanganya uislamu na muislamu.Aliyesema kuhusu Rushd ni Muislamu sio uislamu.Pia huwa mnachanganya sheria ya nchi ya kiarabu na uislamu,au nchi ya Uajemi na uislamu.
Kwahyo jana hukuenda Msikitini wewe tayari sio muislam leo umeenda umerudi kwenye uislam kesho hujaenda umetoka tena kwenye uislam kama danadana...Bana eeh em fanya kama unaongea na wasomi sio wadogo zako apo nyumbani.Lazima uelewe kila kikundi chochote cha watu,wanaunda umoja wao wana katiba yao,ya kuendesha kikundi husika.Kwa mfano viko vikundi,vimeweka masharti fulani,usipoyafuata umeshajitoa uanachama,kwa mfano hujahudhuria vikao vitatu vya chama,bila maelezo yoyote ya kuridhisha,tayari uwanachama huna.Zipo dini,usipohudhuria katika nyumba zao za ibada,tayari umeshatoka katika dini hiyo,hata ukifariki hawakuziki.
Na katika uislamu una kitabu cha Qur'an na muongozo wa Mtume Muhammad,katika uislamu mtume anasema "Tofauti kati ya muislamu na asiye muislam ni SWALA",USIPOSWALI HUNA UISLAMU.
Basi tusiwaangalie waislam maana waislam hawaui mtu ambaye haswali... kwa maelekezo yako Turudi kuangalia kwenye Uislam.Muhammad,katika uislamu mtume anasema "Tofauti kati ya muislamu na asiye muislam ni SWALA",USIPOSWALI HUNA UISLAMU.
Siyo nchi nyingine, ni sheria kwenye hiyo dini mtu ukibadili dini unatakiwa upigwe mawe hadi ufe! Too harsh!Nadhani sababu wakristo wapo huru zaidi kuliko Waislam.
Mkristo yupo huru kufungua kanisa lake au kuhamia kanisa jingine ama Dini
Kwa Waislam ni tofauti, ni dini ya itikadi Kali zaidi, madhehebu yao wenyewe kwa wenyewe wanapigana Vita, kufunga Ramadan wanalazimishwa, kuna nchi nyingine ukibadili dini adhabu yake ni kifo
Endelea kumdanganya danganya tuWakuu habari,
Mimi ni siamini kuhusu masuala ya dini, ila naamini binadamu tunapaswa kuishi kwa upendo kati yetu na tuwapende pia viumbe wengine, naamini hii ndio 'perfect' na 'universal dini'.
Matatizo kama vita, njaa, mauaji, talaka, pengo kati ya matajiri na masikini n.k vyote hivi tungevipunguza kwa kiasi kikubwa kama tungezingatia hii 'universal dini' zaidi kuliko nyingine
Mke wangu ni mtu wa Dini sana, ametokea familia ya walokole.
Amekuwa akinisumbua kuhusu kwenda kanisani kila mara, nimekuwa nikimpa visingizio vya hapa na pale ili nisiende naye kanisani, ila naona visingizio vimeisha.
Sasa nimechoka kelele za kuhusu kanisani, nafikiria nimchane kuwa siamini masuala yake ya kanisani na sitaki usumbufu tena.
Nitakuwa harsh sana au kuna mbadala wa kuyamaliza?
Kwa hiyo anga ambalo ni intangible ulitaka liwe na nguzo ambazo ni tangible ndio uamini kua sio mungu?Naamini Allah yupo..Kaumba mbingu na Ardhi na vyote vilivyomo.. Kaniumba Mimi kutoka kwenye tone la manii
Kasimamisha mbingu bila nguzo.. jua linawaka na usiku Kuna mwezi...hizo zote Ni DALILI KWA WENYE KUTAFAKARI
Hata mtu sio kitu, ila unapokuja kuanza kuelezea dhana ya kila kitu unakua hufungwi na mipaka huachi kitu una include vyote vilivyo vitu na visivyo vituNani aliyekuambia Mungu ni kitu?
Na ni nani aliyekuambia Mungu yupo ndani ya universe au principle zake zinaendana na za universe?
Mungu hajaumbwa na hana chanzo.
hili ndo tatizo lenu huwa hamtafakali kabla ya kuongeaHayo yote wasema wewe peke yako,hukuyakuta ulipozaliwa ul,sio wengi wanasema hivyo.Ingekuwa hayo unayosema,yalisemwa,na wewe ukayakuta,ulipozaliwa,ndio yanakuwepo.
Sawa na mwalimu Nyerere mjamaa aliyetembea na bibilia mfukoni mwakeAtheist miyeyusho. Atheist gani unafunga ndoa kanisani?
ki academia unacho kiongelea kinaitwa proving a negativeKwanza hakuna niliposema kuwa mimi nina ushahidi wa kuwepo Mungu,mimi nimekuja moja kwa moja hilo swali sasa ukianza kusema sijui sina ushahidi hiyo hoja kwangu. Nilichouliza yeyote anaweza kuuliza hata asiyeamini Mungu.
Nimesema hata mahakamani kuwa sio kila ushahidi unatambulika hata kama ni kweli ni ushahidi hivyo wana taratibu zao,sasa najaribu kuangalia sifa za huyo Mungu ndipo naujiuliza huyo mwenye kutaka ushahidi ni kitu gani anakitajia kukipata ili akubali kuwa ni ushahidi?