Nitake radhi...nimeshindwa kuvumilia mkuu hahahah!!Anna wengi huwa wanakuwa wazuri mno na mama huruma sana, sijajua kwa nini.
Ila pole yake.
hii ni comment ngumu yenye ukwel wake ambayo watu weng hatutaipenda
teh teh teh pole sana Anna.Nitake radhi...nimeshindwa kuvumilia mkuu hahahah!!
Na utakuta kama ana mtoto wa kike anamchunga hatari.Inaelekea huyu boss ameshaharibu mabinti wengine wengi tu, wazee kama hawa J2 utawakuta kiti cha mbele kanisani na wamevaa nguo sare na wake zao, tena mistari yote ya Bible wanaijua wao.
Na utakuta kama ana mtoto wa kike anamchunga hatari.
Kuna kabinti flani nilikaombaga namba ya simu (sitaki maswali). Nikakabeep kakasevu namba yangu bhana...Kweli wengi hawataipenda waimeze hivyo hivyo tu maana nimeshashudia huku nilipo mabinti wanataka makubwa kupita uwezo wao kisa showoff mitandaoni(hasa wale kila leo anavaa nguo mpya,viatu vipya,weaving za laki na kitu,kucha etc)
Bado hapo hajaweka bajeti kumkomoa jirani kwa music bab kubwa,gari matata,kila kiwanja nyota anzia tano cha starehe keshaenda.
Akina Anna kweli kabisa ni maji maramojaAnna wengi huwa wanakuwa wazuri mno na mama huruma sana, sijajua kwa nini.
Ila pole yake.
Umeonaee. Ila mungu anawaona kwa kweli.Kweli kabisa tena anakua mkali na bastola nje nje
asante mungu niliumbwa mwanaumeKweli wengi hawataipenda waimeze hivyo hivyo tu maana nimeshashudia huku nilipo mabinti wanataka makubwa kupita uwezo wao kisa showoff mitandaoni(hasa wale kila leo anavaa nguo mpya,viatu vipya,weaving za laki na kitu,kucha etc)
Bado hapo hajaweka bajeti kumkomoa jirani kwa music bab kubwa,gari matata,kila kiwanja nyota anzia tano cha starehe keshaenda.
ha ha ha ha helaaaa ndio tatzio helaaa
sasa kwa anna imesugua mpaka vingineHahahaa hela sabuni ya roho
Kwani yeye hana tabia kama za wenzake???ha ha ha ha huyu si anataka kuja kuwa mwanahisa badae usimuone anahangaika namna hyo