Nitamsaidiaje Anna?

Nitamsaidiaje Anna?

Kwa hiyo laki tatu kwa mwezi angepata chumba kule kwetu Kwamtogole na kumuomba Mungu ampatie mume mwema.
hyo laki tatu sawa vp ile laki mbil ya nyumban kila mwez la msing avumilie tu miez yake mitatu awe na mil 3.3 then atapata nyumba mahala
 
Kikubwa unachoweza fanya kwa Anna kwanza kama yawezekana mtoe out ya nguvu hata kma ni mji wa Karibu den zungumza nae kwakua ni yeye mwenyewe ameichoka hio hali basi ni rahisi sana mnachopaswa kufanya hapo ni usanii wowote ule utakao muwezesha yye kupuza pendo toka kwa bosi kwa maana ya kma vile ameshapata mchumba wa kumuoa lkin akimuahidi boss ataendelea kuwa nae den aombe kuhama hapo anapoishi sasa aende nyumba nyingine yakupanga yenye watu.
Pili zile siku ambazo alikua anakutana na boss ajaribu kuzopunguza kabisa na badala yake uwe nae out ww
 
Watoto wanapokwenda kuanza maisha mbali na upeo wa macho yetu, ni vizuri kuwaasa lakini watakayochagua kufanya angalau ulishayaongelea yote.
 
Siku zote BURE ni gharama sana kuliko watu wanavyodhani...
Ni bora angejibana na kamshahara kake kadogo awe 'salama'kuliko anavyotumbua pesa hali ya kuwa ameshaharibiwa maumbile.

Hilo analofanya huyo bosi ni DENI kwake..
Anautumia umaskini wa Anaa kwa tamaa zake za kimaumbile...He'll pay it back in one way or another..

Cha kumsaidia Anna ni kama ana akiba yeyote atafute pa kuinvest,kama itamlipa aanze kiachana na huyo boss mdogo mdogo...na hiyo kazi aikache.
 
Kikubwa unachoweza fanya kwa Anna kwanza kama yawezekana mtoe out ya nguvu hata kma ni mji wa Karibu den zungumza nae kwakua ni yeye mwenyewe ameichoka hio hali basi ni rahisi sana mnachopaswa kufanya hapo ni usanii wowote ule utakao muwezesha yye kupuza pendo toka kwa bosi kwa maana ya kma vile ameshapata mchumba wa kumuoa lkin akimuahidi boss ataendelea kuwa nae den aombe kuhama hapo anapoishi sasa aende nyumba nyingine yakupanga yenye watu.
Pili zile siku ambazo alikua anakutana na boss ajaribu kuzopunguza kabisa na badala yake uwe nae out ww
Pia Anna anajihisi kama mabaki kwani huyu baba hawezi kupigia simu, hayuko free nae, in a way anajiona kama wale Malaya wa barabarani, mzee akimaliza shida zake huyoo.
 
Halafu mtu innocent kama mm nakutana na anna namuoa bila kujua michezo yake,God forbid
 
Pia Anna anajihisi kama mabaki kwani huyu baba hawezi kupigia simu, hayuko free nae, in a way anajiona kama wale Malaya wa barabarani, mzee akimaliza shida zake huyoo.
Hamna mtu muoga kama mwanaume hakika ni uoga tu unamsumbua mnazo njia nyingi sana zakumuogopesha uyo mwanaume ili asiwe na hali aliyonayo sasa kwa Anna kwasababu ana mke na anaipenda familiya yake amini mnaweza tena anaweza akamuomba msamaha Anna na kumpa hela nyingi sana zakumtunzia siri ili isiwe aibu kwake
 
Hamna mtu muoga kama mwanaume hakika ni uoga tu unamsumbua mnazo njia nyingi sana zakumuogopesha uyo mwanaume ili asiwe na hali aliyonayo sasa kwa Anna kwasababu ana mke na anaipenda familiya yake amini mnaweza tena anaweza akamuomba msamaha Anna na kumpa hela nyingi sana zakumtunzia siri ili isiwe aibu kwake
Hili nalo ni neno mkuu.
 
Ponda mali kufa kwaja .... Mwishi anaeumia wewe anaepta raha haoni hasara kulipiia huduma ..... Maana mwenye macho haambiwu tazama
 
Back
Top Bottom