Kwani hiyo hela ya mshahara wake ilikua hautoshi? kwanza mwanamme akikutaka lazima afanye unavyokata wewe,huyo imekuwaje mpaka akaabiwa geuka na nikitu ambacho hajazowea mara ya kwanza uistahmililie hiyo kitu mbelie mashauri
huko nyuma si ndio balaaaa, hizi shida zetu nazo sometimes tuseme nazo tusiwe watumwa,mapenzi ni starehe sasa ikiwa anageuzwa tuu kama samaki raha yake ikowapi? mwambie aondoke zake hiyo hela basi,atamtia maradhi bure,hapo khatari ishakua manake ikiwa mchezo ndio huo duu anakosa break yakuzuwia hata chochote na kwenye kujifungua ndio balaaaa....