Mimi Nadhani Anna hana mshauri.
Huwezi ukatuma hela nyumbani kila mwezi, kila mwezi. Kwa sababu kuna siku utakuwa huna hela au kazi.
Anna, anatakiwa awe na goals. Aulize nyumbani ni biashara gani wanaweza kuifanya, ili kama ni kutuma hela, awe anatuma kuongeza capital na hiyo itakuwa mara chache. Nyumbani wakifanya biashara, hata yeye siku akikwama wao ndiyo watamtumia hela.
Hii itamletea ukombozi wa kutokufanyiwa sodomy. Awe na goals tu. Ila huo mchezo kama umeingia kwenye damu, utamcorrupt akili yake.