Nissan wakubali sera za Rais Samia. Kujenga kiwanda Cha magari Tanzania

Mzee naona leo umekuwa muungwana kwa nchi yako,
Mi always huwa ni muungwana ila sio kwenye mambo ya kipuuzi😎!!!

Nimetoa wazo tu wangeachana na hao Nissan kama lengo ni magari walete assembling plant ya electric cars toka china. Kiwanda kitakuwa rahisi ku sustain sababu gari zitakuwa affordable kwa watu wa hali ya chini!

Nissan hawawezi toboa sababu wanunuaji wa gari zao ni wachache na gari ikiuzwa more than $33,000 still itakuwa ghali tu! Sababu ukiweka na kodi za kinyonyaji hilo gari huenda likawa almost 90M
 
Kufuatia sera nzuri za uwekezaji zilizoasisiwa na Rais wa awamu ya Sita Mhe Samia Suluhu Hassan,

Tayari makampuni mbalimbali yanamiminika kuwekeza Tanzania ikwemo Kampuni hii ya Nissan iliyoonesha nia ya kuwekeza kiwanda cha kuunganisha magari,

Tunaposema Rais Samia anaupiga mwingi tunamaanisha haya.

===

Nissan Tanzania to establish assembly plant in the country​

Nissan Tanzania to establish assembly plant in the country.

GLOBAL Motor Manufacturer Nissan Tanzania Limited has said it intends to facilitate establishment of a plant in the country after observing potential signs of a growing automobile market.

The company’s chairman Tim Jaques made the remarks on the side-lines of an event to launch a Nissan Navara vehicle which has just entered the Tanzanian market.

According to Jaques, discussions were in progress with authorities on the plan saying this is part of an initiative by the company to participate in economic development of Tanzania.

“We are open for discussion but also very willing to participate in national economy building because we have been in Tanzania for some time now and we have seen there is a huge signs of a growing car automobile sector,” he said.

He said the availability of a conducive environment for investment in the country creates a room for production of quality products among investors and manufacturers.

Speaking on the newly launched product the official said the new Nissan Navara pickup delivers an enhanced level of safety, comfort and driving pleasure, while continuing to bring durability, reliability and versatility for travel lovers.

For his part the marketing manager for the company Alfred Minja said the state of business in the country in the past year was taken back because of Covid-19.

According to him, the sixth phase government has shown signs of better times ahead for investment saying this was good for the economy of the country.
Moja ya sherti watasema serikali isitumie magari aina nyingine zaidi ya Nissan
 
Mi always huwa ni muungwana ila sio kwenye mambo ya kipuuzi😎!!!

Nimetoa wazo tu wangeachana na hao Nissan kama lengo ni magari walete assembling plant ya electric cars toka china. Kiwanda kitakuwa rahisi ku sustain sababu gari zitakuwa affordable kwa watu wa hali ya chini!

Nissan hawawezi toboa sababu wanunuaji wa gari zao ni wachache na gari ikiuzwa more than $33,000 still itakuwa ghali tu! Sababu ukiweka na kodi za kinyonyaji hilo gari huenda likawa almost 90M
Sio Tanzania ndio wanaleta kiwanda mkuu,

Kiwanda nicha Nissan wenye,


Wanakuja kuwekeza wao,

Soko watakuwa wamelirafiti wao,


Serikali has nothing to do with it
 
Walipwa Tshs ngapi ?

Fuatilia haya mambo Kampuni kubwa nyingi ili kukaa nchini mwako unaweza kujikuta wewe ndio unawalipa ruzuku (refer Rover in UK) au Amazon kabla haijajenga warehouse nchini kwako ni vingapi wanapewa....

Hata kama usipowapa siku wakija kutokana na ajira wanazotoa baada ya miaka wanaweza kurudi mezani ili mpitie terms and conditions unless otherwise wanasepa

In short mapatano haya huwezi kuyaangalia juu, juu tu bila kupitia vipengele huwezi kujua kama umepata au umepatikana
 
Nissan ni way too high league! Wangeingia uchina hapo kwenye viwanda vya electric cars wakawapa fursa ya kuja kuwekeza walau kwa mchina angeweza fyatua gari zenye ubora wa kuendana na uchumi wetu! Hapo china kuna electric cars za mpaka dollar 5000 tu!

Hizo wengi tungeweza afford maana ndio gari nyingi zilizopo barabarani leo zina range kwenye bei hio! Walau ingesaidia kupunguza Air Pollution! The future is electric.
Fuel cars zitakuwa phased out soon hence kampuni zote zitakuwa zinatengeneza EV za battery.

Na Nissan wanakwenda extra mile na kuja na EV zinazotumia Solid state batteries ambazo gharama yake ni ya chini na zinachaji haraka chaji inakaa muda mrefu.

Kumbuka katika EV car 30% ya costs ni
battery peke yake kama gari ni 100 millions battery 30 millions
 
Enzi za jk nilisikiaga Honda wangetengeneza kiwanda hapa bongo cha pikipiki kipindi hicho nikiwa form 2 lkn nakumbuka sarakasi hizo na hizi za Nissan nazo zitapita.
 
Back
Top Bottom