Nissan wakubali sera za Rais Samia. Kujenga kiwanda Cha magari Tanzania

Nissan ni way too high league! Wangeingia uchina hapo kwenye viwanda vya electric cars wakawapa fursa ya kuja kuwekeza walau kwa mchina angeweza fyatua gari zenye ubora wa kuendana na uchumi wetu! Hapo china kuna electric cars za mpaka dollar 5000 tu!

Hizo wengi tungeweza afford maana ndio gari nyingi zilizopo barabarani leo zina range kwenye bei hio! Walau ingesaidia kupunguza Air Pollution! The future is electric.
 
Uwezo wetu ni humu walau wakiweka na kodi yao ya kinyonyaji kifike hata 12M wengi watakinunua hiki!
E3964C83-BC87-4D5B-842F-241AC5093BB0.jpeg
 
Nissan ni way too high league! Wangeingia uchina hapo kwenye viwanda vya electric cars wakawapa fursa ya kuja kuwekeza walau kwa mchina angeweza fyatua gari zenye ubora wa kuendana na uchumi wetu! Hapo china kuna electric cars za mpaka dollar 5000 tu!

Hizo wengi tungeweza afford maana ndio gari nyingi zilizopo barabarani leo zina range kwenye bei hio! Walau ingesaidia kupunguza Air Pollution! The future is electric.
Rwanda wana assembly plant ya some Chinese model of Volkswagen. Haya magari ni expensive to maintain na siyo rafiki kwa mazingira ya Afrika. Sijui wanayauza wapi maana ni bei mbaya pia yakiwa mapya.
 
Rwanda wana assembly plant ya Volkswagen, haya magari ni expensive to maintain na siyo rafiki kwa mazingira ya Afrika. Sijui wanayauza wapi maana ni bei mbaya pia yakiwa mapya.
Hata hao Nissan usitegemee wakiunda hapa ndio yatauzwa million 15!
Bei zinaendana na MSRP ya kampuni gari ya $55,000 itauzwa the same price kama inavyouzwa Japan😅
 
Ni mapema kuzungumzia hilo maana hata Honda walisema wataanzisha kiwanda cha pikipiki kikaota mbawa

Tusubiri tuone ikitokea ni Vizuri
 
Ni mapema kuzungumzia hilo maana hata Honda walisema wataanzisha kiwanda cha pikipiki kikaota mbawa

Tusubiri tuone ikitokea ni Vizuri
Tatizo la nchi yetu ni Urasimu, yanakuja mawazo ya kisasa kwa watu wenye muono wa kizamani....
 
Sijaelewa.Mbona hiyo picha inafanana na ile aliyopigwa kwenye mkutano wa mazingira?Jamani hapo kuna mjapani anayeitwa Kumamoto hapo,Loo weshatufanya mazuzu kama wao.Hamna kitu bro
 
Nissan ni way too high league! Wangeingia uchina hapo kwenye viwanda vya electric cars wakawapa fursa ya kuja kuwekeza walau kwa mchina angeweza fyatua gari zenye ubora wa kuendana na uchumi wetu! Hapo china kuna electric cars za mpaka dollar 5000 tu!

Hizo wengi tungeweza afford maana ndio gari nyingi zilizopo barabarani leo zina range kwenye bei hio! Walau ingesaidia kupunguza Air Pollution! The future is electric.
Sio air pollution tu,Waarabu wangebaki na mafuta yao tunayopandishiwa bei kila kukicha.Lakini je chama changu mama kitakubali kuyaleta haya ya umeme (Wakose tozo ya ujenzi wa barabara,hivi tangu tozo ianze hapo wamepata ngapi mbona hawasemi) kama ya gesi yameshindikana kwa kupandisha bei ya gesi tena ikawa ghali kuliko mafuta.Je kutakuwepo na umeme wa kuyaendesha ili hali mabwawa hayana maji? Ah Tanzania yangu kila kitu taabu tu.SEMINA ELEKEZI ZIMEPAMBA MOTO SASA.KULE ARUSHA LEO ILIKUWEPO YA MAPROQUREMENT OFFICER, wengi kama utitiri.Tafakari
 
Sio air pollution tu,Waarabu wangebaki na mafuta yao tunayopandishiwa bei kila kukicha.Lakini je chama changu mama kitakubali kuyaleta haya ya umeme (Wakose tozo ya ujenzi wa barabara,hivi tangu tozo ianze hapo wamepata ngapi mbona hawasemi) kama ya gesi yameshindikana kwa kupandisha bei ya gesi tena ikawa ghali kuliko mafuta.Je kutakuwepo na umeme wa kuyaendesha ili hali mabwawa hayana maji? Ah Tanzania yangu kila kitu taabu tu.SEMINA ELEKEZI ZIMEPAMBA MOTO SASA.KULE ARUSHA LEO ILIKUWEPO YA MAPROQUREMENT OFFICER, wengi kama utitiri.Tafakari
Watu wanavuna per diem za Xmas😅
 
Sio air pollution tu,Waarabu wangebaki na mafuta yao tunayopandishiwa bei kila kukicha.Lakini je chama changu mama kitakubali kuyaleta haya ya umeme (Wakose tozo ya ujenzi wa barabara,hivi tangu tozo ianze hapo wamepata ngapi mbona hawasemi) kama ya gesi yameshindikana kwa kupandisha bei ya gesi tena ikawa ghali kuliko mafuta.Je kutakuwepo na umeme wa kuyaendesha ili hali mabwawa hayana maji? Ah Tanzania yangu kila kitu taabu tu.SEMINA ELEKEZI ZIMEPAMBA MOTO SASA.KULE ARUSHA LEO ILIKUWEPO YA MAPROQUREMENT OFFICER, wengi kama utitiri.Tafakari
Hahahahah haya ya umeme si tutakuwa tunachajisha kama simu😅 overnight kimbembe umeme ukiwa hamna😅
 
Kufuatia sera nzuri za uwekezaji zilizoasisiwa na Rais wa awamu ya Sita Mhe Samia Suluhu Hassan,

Tayari makampuni mbalimbali yanamiminika kuwekeza Tanzania ikwemo Kampuni hii ya Nissan iliyoonesha nia ya kuwekeza kiwanda cha kuunganisha magari,

Tunaposema Rais Samia anaupiga mwingi tunamaanisha haya.

===

Nissan Tanzania to establish assembly plant in the country​

Nissan Tanzania to establish assembly plant in the country.

GLOBAL Motor Manufacturer Nissan Tanzania Limited has said it intends to facilitate establishment of a plant in the country after observing potential signs of a growing automobile market.

The company’s chairman Tim Jaques made the remarks on the side-lines of an event to launch a Nissan Navara vehicle which has just entered the Tanzanian market.

According to Jaques, discussions were in progress with authorities on the plan saying this is part of an initiative by the company to participate in economic development of Tanzania.

“We are open for discussion but also very willing to participate in national economy building because we have been in Tanzania for some time now and we have seen there is a huge signs of a growing car automobile sector,” he said.

He said the availability of a conducive environment for investment in the country creates a room for production of quality products among investors and manufacturers.

Speaking on the newly launched product the official said the new Nissan Navara pickup delivers an enhanced level of safety, comfort and driving pleasure, while continuing to bring durability, reliability and versatility for travel lovers.

For his part the marketing manager for the company Alfred Minja said the state of business in the country in the past year was taken back because of Covid-19.

According to him, the sixth phase government has shown signs of better times ahead for investment saying this was good for the economy of the country.
Daaah, Haya mambo hatukuyafikiria kabisa, Heko Mama Samia
 
Makampuni sasa yataanza kutengeneza gari zinazotumia umeme peke yake, sasa gari mpya za umeme zitakazoingizwa sokoni na hao nissan nani ataweza kumudu kuzinunua, au zipo model zitakazotengenezwa kwa ajili ya wanyonge.......hapo bado umeme wa kuchajia, full majanga.....
 
Back
Top Bottom