Nitakwambia mimi niyapendayo so utajaribu kucheck kama yako relevant kwa huyo wako,
1.Napenda kuhakikishiwa kwamba mimi ni namba 1,2 3 yani zote hizo mimi. namba 4 na kuendelea wengineee sijui ndugu zako au rafiki utajua mwenyewe
2.Napenda kuheshimiwa, tunapotoka unitambulishe kwa rafiki zako kwa heshima na compliments nyingiiiiiii, napenda public affection, napenda watu wajue kama unanipenda usiogope kunishika mokono mbele ya watu
3.Mambo ya chumbani napenda unipe what I want the way I want,
4 Communication, napenda SMS zisizopungua 10 kwa siku, uniambie kila unachofanya, uniambie unafuraha au tatizo, uniulize nafanya nini kila mara kuongea kwenye simu sipendi sana I find SMS very romantic.
5. Ukiniudhi mbe msamaha, tena ikibidi ulie kujutia kuniudhi LOL!! teh teh mi mwenyewe nacheka hapa hahahaaaa ila kiukweli napenda sana nikiona mwanaume analiaaaaaaa
6.Napenda muda wa peke yetu sipendi usumbufu eti uko na mimi rafiki kapiga simu uniambie unakuja mara moja :nono: sipendi
Ngoja nimalizie kuna kashughuli nafanya ntarudi kuendelea 7 mpaka 12.
Kimsingi hapa kaaazikwelikweli, Kukutambulisha siku hizi watu hata hawasiti, lakini kama wewe ni mke halali hata huna haja ya kutaka kutambulishwa labda uwe mchumba.Nitakwambia mimi niyapendayo so utajaribu kucheck kama yako relevant kwa huyo wako,
1.Napenda kuhakikishiwa kwamba mimi ni namba 1,2 3 yani zote hizo mimi. namba 4 na kuendelea wengineee sijui ndugu zako au rafiki utajua mwenyewe
2.Napenda kuheshimiwa, tunapotoka unitambulishe kwa rafiki zako kwa heshima na compliments nyingiiiiiii, napenda public affection, napenda watu wajue kama unanipenda usiogope kunishika mokono mbele ya watu
3.Mambo ya chumbani napenda unipe what I want the way I want,
4 Communication, napenda SMS zisizopungua 10 kwa siku, uniambie kila unachofanya, uniambie unafuraha au tatizo, uniulize nafanya nini kila mara kuongea kwenye simu sipendi sana I find SMS very romantic.
5. Ukiniudhi mbe msamaha, tena ikibidi ulie kujutia kuniudhi LOL!! teh teh mi mwenyewe nacheka hapa hahahaaaa ila kiukweli napenda sana nikiona mwanaume analiaaaaaaa
6.Napenda muda wa peke yetu sipendi usumbufu eti uko na mimi rafiki kapiga simu uniambie unakuja mara moja :nono: sipendi
Ngoja nimalizie kuna kashughuli nafanya ntarudi kuendelea 7 mpaka 12.
Haya mambo ya Asha Ngedere na Rose ni kidogo mazito sana, maana sometimes yanakuwa yanasahaulika kwelikweli,Tumeingiliwa
Lakini lazima utambue kuwa kama mtaboana halafu msipate utatuzi mzuri ndo mwanzo wa kuanza kuwaona wengine wazuri zaidi.msipo "boana" hakutakuwa na radha ya ndoa.
Ni kama kusema maisha bila matatizo/shida hayana radha yoyote ile so kuboana lazima ila sio so frequently
uko ndo kunakokufaa due to yr...
hpful one day utaacha
lunch vp lakin kaka?
nkuead lini???
luch tyr mda tu...
ila leo nlikua busy kewnye siasa naona watu wamenshambulia saaaana, ebu cheki kama vp kwenye mada isemayo anguko la chadema, najuuuuta kuiandika mana humu wooote ni chadema
kwan wewe si chadema?
mimi sina pbm na wewe nakupenda tena saaaaaana kakangu lakin unajua unaniboa nini? ni iv
1,UNATUKANA SANA
2.BUSARA ZA KUMJIBU MTU HUNA ..WEEW UNAMKATISHA MTU AU UNAMDHARAU MTU ALIYETOA MADA AU ALIECHANGIA MADA AMBAVYO HAVIENDAN KWA FIKRA ZAKO
MIMI haujawai kunitukana lakin naona mara nyng unatusi watu si vyema........pls ma dear brooo usifanye ivo ..ukiona mtu yupo kinyume na mawazo yako tak t easy na si kuanza kumbrust..
promiss me hautatukana tena watu.........
hpfull yes u wnt do t again...!!!
POLE KWA KUSHAMBULIWA UKO KWENYE SIASA
gud.i undstandndio mi chadema damdam bt nlitaka nione memba wenzangu ni wangapi bt kwa njia ya kuwapinga nimejua ni karbu jf woote...
smtym uwa najib jokes ili kumpa m2 challenge tu..
ku2kana uwa naweka tafsida ..
ila i prms 6do ivi tena
gud.i undstand
bt km una nia ya kuchallenge kuna maneno unaweza kutumia na si maneno ya km kumdharau au kumtukana mtu
nafurai km autofanya ivi tena
ur gud man...unarekebshika ..i like t
be wise t wl pay u bak...
ukijiskia kukereka na majibu ya mtu bas potezea usijibu cz unaweza jibu hasira na apo ndo matusi yanazaliwa.......
jion njema kakangu
c u 2mrw
stay safe n b blessed
.Hii naomba niicopy na kuiweka kwenye Note book yangu, na kama una nyongeza?
Nahisi harufu ya ukweli
7. Nikikuudhi usinionyeshe mbele za watu, niite chumbani nigombee wee kadri unavyotaka ukiweza hata nipige lakini kimapenzi sio kama uko ulingoni na matumla hhahaaaa halafu nikilia nibembeleze sana halfu unipe chakula cha ndoa cha nguvu
8.Suprises.. Ukisafiri ukiwa unarudi usiniambie mwambie nishtukize, nisuprise na mabo mengine kama zawadi, usiniambie mambo unayotaka kunifurahisha wewe fanya kwa suprise.. napenda sana
Duh nitarudi tena mambo mengi ndugu zangu.......
love u 22222222222222222!!!!!!!!!!!Asha ngedere and Rose I love you!!!, keep telling us the truth!!!:smile:
uko ndo kunakokufaa due to yr...
hpful one day utaacha
lunch vp lakin kaka?
how I wonder world so high...like a diamond in the sky......
yeah its lunch time