Mtambuzi una lala kazini kupi, kule tunakokujua sisi? Maana hata nyumba ndogo siku hizi ni kazini na wakati wa kwenda huko nasikia huwa unaaga eti unafanyakazi overtime!!!
Kesharudi Ruttashobolwa. NOW Mtambuzi anafanya stock taking na kuagiza vinywaji vipya pale Mtambuzi Pub Tabata. Ila keshaanza kuzimua. Hivi RUTTA nikija DAR nitapata wapi RUBISI?
Jana kuna mfanyakazi mwenzetu alimsubiria mkewe hadi saa tatu ili waondoke wote kwakuwa walitegemea lift moja. napata picha mlikuwa wote kwa kuwa ofisi ya yule dada ni upande wa pili wa ofisi yako. kwangu ni dili.
Aha mi ndo nimerudi leo hom,,,
nlikuwa kwenye discussion chuo na tuliambiwa tuliambiwa tusitoke kenye madarasa yetu kwa usalama,, ndo tumeruhusiwa leo LOL
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.