hivi wafikir sijui kwamba unamuongelea jiran yako yule anayeish ndani ya mbavu zako? namjua mpelekee ujumbe wangu
hivi wafikir sijui kwamba unamuongelea jiran yako yule anayeish ndani ya mbavu zako? namjua mpelekee ujumbe wangu
I now know that you are genius just like how am I. That's quality answer. Brother thought wote vilaza
sasa ngoja waje hapa akina snowhite, cacico sweetlady, BADILI TABIA uone achen ubazazi wanaume mmezidi lol!Ha ha ha haaaaaaaa....Una nongwa wewe.... mbona siku hizi unaninyima pumzi kila nikisema neno humu...?
Najua ushawaalika wenzako, bado kitambo kidogo watakuja hapa kama wale ndege KWELEA KWELEA.........
NGOJA NIHAMI MPUNGA WANGU KABLA HAWAJAJA NA KUKINUKISHA.............LOL
watu wanavyopenda kusingizia matukio ili wakazini vizuri
sasa ngoja waje hapa akina snowhite, cacico sweetlady, BADILI TABIA uone achen ubazazi wanaume mmezidi lol!
sasa ngoja waje hapa akina snowhite, cacico sweetlady, BADILI TABIA uone achen ubazazi wanaume mmezidi lol!
Samahani leo sitaweza kurudi home, huku mjini nilipo kimenuka, nimeambiwa na boss wangu nilale hapa hapa kazini mpaka kesho......LOL