Nipo Mwanza, haijanivutia kabisa

Nipo Mwanza, haijanivutia kabisa

Ukweli jiji la mwanza limekuwa la hovyo sana, pale buzuruga stand karibu na tfda kuna kashimo kadogo barabarani kameachwa tu hadi lami yote ibomoke sijui ndio wajenge mpya? Hovyo sana
 
Wenye maduka kila jumamosi wanafunga maduka nini? Usafi! Mbona daladala hazisimama ili wafagie stand? Mbona machinga hawasimami ili wafagie barabara? Mbona soko halifungwi kupisha usafi? Mambo ya hovyo tu
 
Na hapo bado hujaona barabara yenye bonge ya mtalo katikati na viongozi wanalita hapo hapo kutokea airport na waandishi wa habari wapo tu ila siku daladala ikitumbukia wakafa abiria wote ndy itakumbukwa kufunikwa
 
mleta mada umewagusa wenye jiji lao,povu lao sio la nchi hii ila kuna ukwel flani japo umeongezs chumvi kidogo
 
Mada imehama kutoka kwenye jiji kwenda kwenye uongo wa mleta mada. Kama ni kweli yuko mwanza na alitaka kulichambua jiji kwa kasoro alizoziona basi angetumia hoja na data za kweli badala ya ulongo. Uongo ni immorality kama wizi, uzinzi, uuaji, usaliti, nk.

tatizo mmekariri sana yaani mtu kwenda mwanza lazima atoke dar! unsjuaje je km ametoka arusha au dodoma?
 
Sehemu nzuri ya kuishi kwa mtu anayejua maana ya maisha ni mkoa wa Kilimanjaro tu........





NB;
Ni mtazamo tu
 
Nimefika mwanza hakuna lolote shombo sangara tu jiji moja tu ...dar...kwingine mini tu..misifa miiiiiiingi
Kama umeishia kwenda kamanga kivukoni wategemea usikie harufu ya nini mkuu?
 
Dar inanuka vinyesi balaa na joto lenu mh unakuta mtu anatiririka mijasho anachukua kitambaa na kujipakaa tu putuuuuuuu
Baada ya hapo anashushia na maji ya Kandoro
Dar inanuka vinyesi balaa na joto lenu mh unakuta mtu anatiririka mijasho anachukua kitambaa na kujipakaa tu putuuuuuuu
Baada ya hapo anashushia na maji ya Kandoro
 
Jij ni 1 tu Tanzania,nalo ni DSM ,

Mengine ni kujipa moyo,hakuna cha mwanza wala arusha wala nn,..ni kujipa moyo tuu
 
Jij ni 1 tu Tanzania,nalo ni DSM ,

Mengine ni kujipa moyo,hakuna cha mwanza wala arusha wala nn,..ni kujipa moyo tuu
Umenichekesha sana mkuu.
Nakumbuka nilifika Arusha airport nikashangaa kuona barabara ya kuelekea airport ni vumbi tupu tena ina mashimo kibao.
Sasa nikaanza kuwaza jinsi watu wanavyoisifiaga Arusha mara A town mara Geneva of Africa
 
Habari zenu wadau
Ni siku yangu Ya pili hapa Rock City (Mwanza) kama inavyo julikana na wengi

Kwa wale wanao tamani kufika mwanza ambalo lisha tunukiwa sifa ya jiji miaka kadhaa sasa lakini jina hilo haliendani na sifa ambayo inapewa

Saa yangu inaonyesha ni saa 1:23 usiku ndani ya dar lux tunaingia mwanza, moyo unashtuka baada ya kuambiwa Nyegezi stand ndo mwisho wa safari, wakimaanisha tusha fika mwanza

Ni giza kila sehemu stand ya nyegezi kama dampo jamaaaani hakuna taa barabara imejaamashimo, taa za barabarani haziwaki

Tunatoka nyegezi twaelekea Nata ambako ndio mwisho wa gari jamaaaani city centre mashimo, viroba vya taka vimetupwa katikati ya barabara

Hiyo ndio mwanza unayo isikia
Pana pambazuka asubuh najiandaa kwa ajili ya mishe ilo nifikisha uuuuuwiiiiii daladala zimechoka, na zinajaza balaa, vituo havieleweki kama vile hakuna mkandarasi wa jiji
Je mkuu wa mkoa hayupo au hajifunzi kutoka kwa Makonda
Habari zenu wadau
Ni siku yangu Ya pili hapa Rock City (Mwanza) kama inavyo julikana na wengi

Kwa wale wanao tamani kufika mwanza ambalo lisha tunukiwa sifa ya jiji miaka kadhaa sasa lakini jina hilo haliendani na sifa ambayo inapewa

Saa yangu inaonyesha ni saa 1:23 usiku ndani ya dar lux tunaingia mwanza, moyo unashtuka baada ya kuambiwa Nyegezi stand ndo mwisho wa safari, wakimaanisha tusha fika mwanza

Ni giza kila sehemu stand ya nyegezi kama dampo jamaaaani hakuna taa barabara imejaamashimo, taa za barabarani haziwaki

Tunatoka nyegezi twaelekea Nata ambako ndio mwisho wa gari jamaaaani city centre mashimo, viroba vya taka vimetupwa katikati ya barabara

Hiyo ndio mwanza unayo isikia
Pana pambazuka asubuh najiandaa kwa ajili ya mishe ilo nifikisha uuuuuwiiiiii daladala zimechoka, na zinajaza balaa, vituo havieleweki kama vile hakuna mkandarasi wa jiji
Je mkuu wa mkoa hayupo au hajifunzi kutoka kwa Makonda
We mwanaume wa dar umetoka huko unakula vichips ku
Ukweli jiji la mwanza limekuwa la hovyo sana, pale buzuruga stand karibu na tfda kuna kashimo kadogo barabarani kameachwa tu hadi lami yote ibomoke sijui ndio wajenge mpya? Hovyo sana
Kijini kwenu hakuna mashimo?
 
Ebhanaaa utajijua mwenyewe wee si wa jiji la Dar tuache na jiji letu chafu la Mwanza ,but hatuna stress amani ipo,vyakula vipo, starehe zote zipo maisha yanasonga wee baki na kuponda tu mzee was Dar
 
Acha kudanganya watu hapa wewe.kuna daladala mbovu hapa mjini toka lini?watu mna vimaneno vya kijinga jinga kweli sijui utapata nini kuwadanganya watu.mji huu una hiace kama mchanga na zote kwa %90 ni gari mpya.mashimo barabarani umeyaona wapi?kuna uchakavu wa barabara kidogo mwanzoni mwa pamba road na Lumumba road kutokana na mapolomoko ya maji ya mvua maana kuna mwinuko kidogo basi,na hazina hata point 4 za kilometer.sasa hayo mashimo ya mpaka wewe kuleta maneno hapa umeyaona wapi?
Jamaa anataka kudanganya watu,mi nayajua hayo mashimo uliyoyasema ya pamba road na Lumumba road
 
Back
Top Bottom