Abby Newton
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 1,301
- 2,393
I love lringa city, small but very smart and clean
Saa saba hiyoBasi la kuingia mwanza saa 1 usiku mmetokea morogoro au?!
Kuna baadhi ni mazuri lkn mengine ni yeeeee bhaghooooshaaaNdio maana nikaweka alama ya n.k nikimaanisha nakadhalika, ama hukuelewa mrembo?
Halafu hiyo Best Line si ndio yale mabasi yapo yapo tu yaani ata huwa sijaelewi kabisa. Ama siku hizi Kaleta mapya?
Best Line inatoboa maana ikifika Mwanza asubuhi inaunga mpaka Tarime.
Eti mwanza kuchafu kasahau daslam inavyonuka kila pahala ptuuuuuBila shaka utakuwa upo Misungwi umedanganywa ni Mwanza town. Kwa Tanzania Mwanza ni sehemu nzuri Sana karibu kwa kila kitu ukilinganisha na mikoa mingine.
Njoo unywe supu ya sato mtoto mzuri achana na hao wala viepe na ubuyuUkienda Mwanza na bus lazima upaone pa ajabu. Kwanza umefika umechoka. Pili kama huna wenyeji utaona kero pia. Mwanza nimeenda kama mara nne na sikukaa sana ila napakubali sana
Umekimbila mjini umeacha wazazi porini. Kyagata ( Kiagata) ipo Mara kwa Nyerere! Majimoto bado yapo?hivi Tanzania kuna jiji kweli?
Saa yangu inaonyesha ni saa 1:23 usiku ndani ya dar lux tunaingia mwanza, moyo unashtuka baada ya kuambiwa Nyegezi stand ndo mwisho wa safari, wakimaanisha tusha fika mwanza
Basi la kuingia mwanza saa 1 usiku mmetokea morogoro au?!
kama umesema mda wa uongo iweje habari unayotoa iwe ya kweli? Uongo + ukweli = Uongo.Watanzania Tuna matatizo ... Mada ni JIJI au Muda ?
hujanijibu swali langu,Tanzania kuna jiji?Umekimbila mjini umeacha wazazi porini. Kyagata ( Kiagata) ipo Mara kwa Nyerere! Majimoto bado yapo?
Samahani mkuu.hujanijibu swali langu,Tanzania kuna jiji?
Labda safari kaanzia Dodoma.Basi la kuingia mwanza saa 1 usiku mmetokea morogoro au?!
Unapoingiza uongo kwenye taarifa yoyote unaifanya ikose maanaWatanzania Tuna matatizo ... Mada ni JIJI au Muda ?
Mada imehama kutoka kwenye jiji kwenda kwenye uongo wa mleta mada. Kama ni kweli yuko mwanza na alitaka kulichambua jiji kwa kasoro alizoziona basi angetumia hoja na data za kweli badala ya ulongo. Uongo ni immorality kama wizi, uzinzi, uuaji, usaliti, nk.Watanzania Tuna matatizo ... Mada ni JIJI au Muda ?