MWANAUME UGOKO
Senior Member
- Nov 4, 2017
- 122
- 235
Huyu jamaa ni muongo mi nimetoka mwanza jumatatu hii kwenda Arusha mbona ni uongo mtupu kutokea usagara-buhongwa-mkolani-nyegezi-bohari-mkuyuni-voil-mwanza south hadi NATA hakuna barabara yenye mashimo,mbona kila sehemu hili lipo dar barabara nyingi za mtaani ni lami chini ya kiwango labda tu kuhusu taa barabarani zimetolewa ili kupunua barabara kwani hta ukifika MISSION-GHANA-KONA YA BWIRU-NYAMANORO-PASIANSI-ILOGANZALA-SABASABA-ILEMELA hamna taa pia magari yte yanaenda na form maalumu lazima wakifika singinda wagongewe mhuri na traffic na wakifika pia mwanza hivo hivo labda mkuu ulienda na gari LA mizigo sio basi huo ni UONGO mabasi yte ya dar,arusha,Moshi yanafika usiku