INAUZWA Nipo Dodoma, nauza mbao bei nafuu sana

INAUZWA Nipo Dodoma, nauza mbao bei nafuu sana

MaduhuJ

Senior Member
Joined
Oct 7, 2024
Posts
113
Reaction score
123
Mpo salama wadau wa Dodoma? Nimeshusha mzigo wa mbao (Futi 12) pale karibu na uwanja wa Jamhuri. Bei zangu ni rafiki na mbao ni nzuri/bora sana;

2x2 - 2,500
2x3 - 3,700
2x4 - 4,700
2x6 - 7,000
1x4 - 2,500
1x6 - 4,500
1x8 - 7,500
1x10 - 14,000

Mafundi ujenzi, fanicha na wateja wengine karibuni sana mjipatie mbao kwa bei rahisi. Mawasiliano yangu ni 0746311251.

d16db93e-321a-4b90-8e35-e11dc505f224.jpeg
bb651096-bac7-4f88-90b5-c9654436c0a1.jpeg
IMG_0694.jpeg
IMG_0693.jpeg
IMG_0692.jpeg
IMG_0691.jpeg
2C02FF16-0893-4BFB-8683-71BB242C4185.jpeg

 
Mzigo mpya na bei zimeshuka kidogo;

2x2 - 2,400
2x3 - 3,600
2x4 - 4,600
2x6 - 7,000
1x4 - 2,400
1x6 - 4,500
1x8 - 7,500
1x10 - 13,500

Karibuni sana mjipatie mbao kwa bei rahisi. Mawasiliano yangu ni 0746311251.
 

Attachments

  • IMG_0722.mov
    71.5 MB
Wadau wa Dodoma nimeshusha mzigo mwingine wa mbao (12Ft) kwa bei ya punguzo. Ofisi ipo pale shule ya sekondari ya Jamhuri. Bei zangu ni rafiki na mbao ni nzuri/bora sana;

2x2 - 2,500
2x3 - 3,400
2x4 - 4,400
2x6 - 6,500
1x4 - 2,500
1x6 - 4,300
1x8 - 7,300
1x10 - 13,000

Mafundi ujenzi, fanicha na wateja wengine karibuni sana mjipatie mbao kwa bei rahisi. Mawasiliano yangu ni 0746311251.
 
Back
Top Bottom