Nipeni elimu juu ya madeni ya Luku, hayo madeni huwa yanakopwa na nani? Kwanini nidaiwe mimi kwenye meter yangu?

NetMaster

JF-Expert Member
Sep 12, 2022
1,454
4,853
Habari zenu wote humu ndani.

Kuna sehemu ilikuwa na frem mpya kabisa nikaona nichukue chumba, kila chumba kina meter yake, cha ajabu leo hii naaka ninunue luku ya elf 5 inakataa, nikaweka umeme wa elf 10 nimeambuliwa kupewa unit 10 tu za ememe wa elf 3 huku deni likiwa elf 6, buku iliyobaki tozo.

Sasa ninajiuliza ni vipi hili deni, maana sehemu hii ni mpya kabisa.
 
Itakua TTCL washawakumbuka wadenmaki wao ndo wanaanza kuchukua chao.
 
Habari zenu wote humu ndani.

Kuna sehemu ilikuwa na frem mpya kabisa nikaona nichukue chumba, kila chumba kina meter yake, cha ajabu leo hii naaka ninunue luku ya elf 5 inakataa, nikaweka umeme wa elf 10 nimeambuliwa kupewa unit 10 tu za ememe wa elf 3 huku deni likiwa elf 6, buku iliyobaki tozo.

Sasa ninajiuliza ni vipi hili deni, maana sehemu hii ni mpya kabisa.
Hiyo nyumba ilikuwa na deni tangu enzi ya leading meter, walipowekewa Luku deni halifutwi kila unaponunuwa Luku wanakata kidogo unapewa umeme kidogo.

Nenda Tanesco wape hiyo meter number waangalie kwenye system kama deni kubwa mwambie mwenye nyuma akurudishie pesa zako uhame, huyo ni Utapeli alipaswa akwambie ukweli kabla hujatowa pesa.

Hiyo ngoma kila ukinunuwa Luku lazima wakate percent ambayo wameiseti, utateseka sana.
 
Kika mita Mpya huwa na Umeme Unit 10.

Maranyingi huwa unakopeshwa na Haizidi 5000Tsh.

Unaweza kuta hiyo mita Ilitumika Hizo Unit 5 zikaisha.

Sasa Wewe unapo Nunua Ndio unakutana na Hilo deni
 
Tatizo amuongei na watu vizuri, million 5 tu ilitosha kulifuta deni lote.
Hadi tumekubali lipa hivyo kila njia ilitumika hadi wizarani.

Na makao makuu kuna mhasibu pale ni mtu wa kwetu kabisa ila alisema ukaguzi ukipita watakurudishia deni
Tukakubaliana nao wakate nusu, tulipe nusu
 
Basi wanaonea sanaa, hawa wahusika wawe wazi kwa wapangaji wao.
Ndio vitu tunapaswa kujifunza tuzingatie, kumuuliza maswali mmiliki kabla ya kuingia mkataba ni muhimu.

Hata ile 1000 ya kila mwezi kodi ya majengo ambayo ni 12,000/= kwa mwaka unapaswa kuihold kwenye malipo ya rent kwa sababu mpangaji si jukumu lako kulipa kodi ya majengo.
 
Back
Top Bottom