Nionavyo: RC Mbeya hakutakiwa kuchukua uamuzi Sasa wakati ripoti ya uchunguzi kuhusu ufisadi wa Mbeya haijatoka

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Apr 10, 2019
2,590
4,603
RC ambaye ni Mwenyekiti wa vikao vya RCC ameshindwa kuyaona yaliyokuwa yanaendelea mkoani Mbeya ,mpaka Rais aliseme hii inaonesha utendaji wake unatia mashaka.

Baada ya Rais kujua juu ya ufisadi akaunda tume kuchunguza suala hilo na mpaka hapo hatukusikia RC akichukua hatua zozote Kwa wahusika. Je, hakuwa anajua?

Baada ya Rais kulisema suala hilo na huku uchunguzi bado unaendelea na ripoti haijatoka na kaanza kuchukua hatua. Je, sio kuingilia uchunguzi unaopendelea?

Kwamba ,ikibainika na Yeye ni Moja ya wanufaika wa mtandao huo wa kuchepusha pesa za mapato ya Serikali Kwa sababu ameanza kuchukua hatua, Yeye ataachwa tu?

Kwa nini sasa RC achukue hatua wakati uchunguzi unaendelea ?

Sioni haja wala sababu ya RC kuchukua hatua kwa waliohusika Sasa, huko ni kutaka kukwamisha uchunguzi ,asubiri ripoti itoke akiwa safi aendelee na anachofanya.

Ombi Kwa Mhe.Rais na mamlaka za uchunguzi ,zuieni kinachofanywa na RC ikiwa uchunguzi unaendelea na ripoti ya uchunguzi bado haijatoka, kinachofanywa na RC kinaweza kukwamisha au kuzorotesha uchunguzi
 
Huyu mama ana maamuzi ya kinafiki sana..kipindi anamtafuta Ally Happi kwa udi na uvumba alifanya ziara Mara baada ya kupata taarifa kama hii..kufika akakuta Ally ameshachukua hatua..kwenye mkutano wake akamuambia ana bahati maana alikuwa anamuondoa.

Huku kwa Homera kaishia kulaumu na hajachukua hatua yoyote..

Mwishowe alipomkosa Ally Happi akaamua tu kumuondoa kwa hila. Hivi unakosaje laana.?
 
RC ambaye ni Mwenyekiti wa vikao vya RCC ameshindwa kuyaona yaliyokuwa yanaendelea mkoani Mbeya ,mpaka Rais aliseme hii inaonesha utendaji wake unatia mashaka.

Baada ya Rais kujua juu ya ufisadi akaunda tume kuchunguza suala hilo na mpaka hapo hatukusikia RC akichukua hatua zozote Kwa wahusika. Je, hakuwa anajua?

Baada ya Rais kulisema suala hilo na huku uchunguzi bado unaendelea na ripoti haijatoka na kaanza kuchukua hatua. Je, sio kuingilia uchunguzi unaopendelea?

Kwamba ,ikibainika na Yeye ni Moja ya wanufaika wa mtandao huo wa kuchepusha pesa za mapato ya Serikali Kwa sababu ameanza kuchukua hatua, Yeye ataachwa tu?

Kwa nini sasa RC achukue hatua wakati uchunguzi unaendelea ?

Sioni haja wala sababu ya RC kuchukua hatua kwa waliohusika Sasa, huko ni kutaka kukwamisha uchunguzi ,asubiri ripoti itoke akiwa safi aendelee na anachofanya.

Ombi Kwa Mhe.Rais na mamlaka za uchunguzi ,zuieni kinachofanywa na RC ikiwa uchunguzi unaendelea na ripoti ya uchunguzi bado haijatoka, kinachofanywa na RC kinaweza kukwamisha au kuzorotesha uchunguzi
Mwambieni Rais wenu asiingilie kazi zinazoendelea kabla hajapata ripoti kamili. Kwa kufanya hivyo, tayari ameivuruga kazi kwa kiwango kikubwa sana na kuwapa clue walengwa kujipanga na kufunika maovu yao.
 
RC ambaye ni Mwenyekiti wa vikao vya RCC ameshindwa kuyaona yaliyokuwa yanaendelea mkoani Mbeya ,mpaka Rais aliseme hii inaonesha utendaji wake unatia mashaka.

Baada ya Rais kujua juu ya ufisadi akaunda tume kuchunguza suala hilo na mpaka hapo hatukusikia RC akichukua hatua zozote Kwa wahusika. Je, hakuwa anajua?

Baada ya Rais kulisema suala hilo na huku uchunguzi bado unaendelea na ripoti haijatoka na kaanza kuchukua hatua. Je, sio kuingilia uchunguzi unaopendelea?

Kwamba ,ikibainika na Yeye ni Moja ya wanufaika wa mtandao huo wa kuchepusha pesa za mapato ya Serikali Kwa sababu ameanza kuchukua hatua, Yeye ataachwa tu?

Kwa nini sasa RC achukue hatua wakati uchunguzi unaendelea ?

Sioni haja wala sababu ya RC kuchukua hatua kwa waliohusika Sasa, huko ni kutaka kukwamisha uchunguzi ,asubiri ripoti itoke akiwa safi aendelee na anachofanya.

Ombi Kwa Mhe.Rais na mamlaka za uchunguzi ,zuieni kinachofanywa na RC ikiwa uchunguzi unaendelea na ripoti ya uchunguzi bado haijatoka, kinachofanywa na RC kinaweza kukwamisha au kuzorotesha uchunguzi
Mjinga sana huyo RC ashukuru yupo kipindi cha BITOZO. Enzi zile tungekuwa tumeshaimba mapambio
 
Huyu mama ana maamuzi ya kinafiki sana..kipindi anamtafuta Ally Happi kwa udi na uvumba alifanya ziara Mara baada ya kupata taarifa kama hii..kufika akakuta Ally ameshachukua hatua..kwenye mkutano wake akamuambia ana bahati maana alikuwa anamuondoa.

Huku kwa Homera kaishia kulaumu na hajachukua hatua yoyote..

Mwishowe alipomkosa Ally Happi akaamua tu kumuondoa kwa hila. Hivi unakosaje laana.?
Unataka hatua gani zichukuliwe wakati uchunguzi bado haujakamilika? Nina imani uchunguzi ukikamilika hatua za kisheria zitachukuliwa na kama angekuwa hana nia ya kuchukua asingegusia.
 
Mwambieni Rais wenu asiingilie kazi zinazoendelea kabla hajapata ripoti kamili. Kwa kufanya hivyo, tayari ameivuruga kazi kwa kiwango kikubwa sana na kuwapa clue walengwa kujipanga na kufunika maovu yao.
Kama umemsikiliza vizuri amesema anasubiri ripoti ya TAMISEMI lakini akasema kuna uchunguzi mwingine ameshafanya na akatoa onyo ole wao ripoti zitofautiane.

Maana yake ripoti ya kinachoendelea Mbeya anayo na ili kujiridhisha Zaidi anataka na ripoti ya TAMISEMI
 
RC ambaye ni Mwenyekiti wa vikao vya RCC ameshindwa kuyaona yaliyokuwa yanaendelea mkoani Mbeya ,mpaka Rais aliseme hii inaonesha utendaji wake unatia mashaka.

Baada ya Rais kujua juu ya ufisadi akaunda tume kuchunguza suala hilo na mpaka hapo hatukusikia RC akichukua hatua zozote Kwa wahusika. Je, hakuwa anajua?

Baada ya Rais kulisema suala hilo na huku uchunguzi bado unaendelea na ripoti haijatoka na kaanza kuchukua hatua. Je, sio kuingilia uchunguzi unaopendelea?

Kwamba ,ikibainika na Yeye ni Moja ya wanufaika wa mtandao huo wa kuchepusha pesa za mapato ya Serikali Kwa sababu ameanza kuchukua hatua, Yeye ataachwa tu?

Kwa nini sasa RC achukue hatua wakati uchunguzi unaendelea ?

Sioni haja wala sababu ya RC kuchukua hatua kwa waliohusika Sasa, huko ni kutaka kukwamisha uchunguzi ,asubiri ripoti itoke akiwa safi aendelee na anachofanya.

Ombi Kwa Mhe.Rais na mamlaka za uchunguzi ,zuieni kinachofanywa na RC ikiwa uchunguzi unaendelea na ripoti ya uchunguzi bado haijatoka, kinachofanywa na RC kinaweza kukwamisha au kuzorotesha uchunguzi
Mbeya hakuna Rc pale. Kuna mshirikina fulani tuu.
 
RC ambaye ni Mwenyekiti wa vikao vya RCC ameshindwa kuyaona yaliyokuwa yanaendelea mkoani Mbeya ,mpaka Rais aliseme hii inaonesha utendaji wake unatia mashaka.

Baada ya Rais kujua juu ya ufisadi akaunda tume kuchunguza suala hilo na mpaka hapo hatukusikia RC akichukua hatua zozote Kwa wahusika. Je, hakuwa anajua?

Baada ya Rais kulisema suala hilo na huku uchunguzi bado unaendelea na ripoti haijatoka na kaanza kuchukua hatua. Je, sio kuingilia uchunguzi unaopendelea?

Kwamba ,ikibainika na Yeye ni Moja ya wanufaika wa mtandao huo wa kuchepusha pesa za mapato ya Serikali Kwa sababu ameanza kuchukua hatua, Yeye ataachwa tu?

Kwa nini sasa RC achukue hatua wakati uchunguzi unaendelea ?

Sioni haja wala sababu ya RC kuchukua hatua kwa waliohusika Sasa, huko ni kutaka kukwamisha uchunguzi ,asubiri ripoti itoke akiwa safi aendelee na anachofanya.

Ombi Kwa Mhe.Rais na mamlaka za uchunguzi ,zuieni kinachofanywa na RC ikiwa uchunguzi unaendelea na ripoti ya uchunguzi bado haijatoka, kinachofanywa na RC kinaweza kukwamisha au kuzorotesha uchunguzi
Asingeweza ona madudu hayo kwa kuwa alikuwa bize na kuwakabidhi akina Mwabukusi kwa machifu
 
RC ambaye ni Mwenyekiti wa vikao vya RCC ameshindwa kuyaona yaliyokuwa yanaendelea mkoani Mbeya ,mpaka Rais aliseme hii inaonesha utendaji wake unatia mashaka.

Baada ya Rais kujua juu ya ufisadi akaunda tume kuchunguza suala hilo na mpaka hapo hatukusikia RC akichukua hatua zozote Kwa wahusika. Je, hakuwa anajua?

Baada ya Rais kulisema suala hilo na huku uchunguzi bado unaendelea na ripoti haijatoka na kaanza kuchukua hatua. Je, sio kuingilia uchunguzi unaopendelea?

Kwamba ,ikibainika na Yeye ni Moja ya wanufaika wa mtandao huo wa kuchepusha pesa za mapato ya Serikali Kwa sababu ameanza kuchukua hatua, Yeye ataachwa tu?

Kwa nini sasa RC achukue hatua wakati uchunguzi unaendelea ?

Sioni haja wala sababu ya RC kuchukua hatua kwa waliohusika Sasa, huko ni kutaka kukwamisha uchunguzi ,asubiri ripoti itoke akiwa safi aendelee na anachofanya.

Ombi Kwa Mhe.Rais na mamlaka za uchunguzi ,zuieni kinachofanywa na RC ikiwa uchunguzi unaendelea na ripoti ya uchunguzi bado haijatoka, kinachofanywa na RC kinaweza kukwamisha au kuzorotesha uchunguzi
Nyie nao na matume yenu yasiyo na faida yann?!Tume tume utafikir mpo serious kwel kupambana na wizi, rushwa na ufisadi 🤣🤣🤣
 
Unataka hatua gani zichukuliwe wakati uchunguzi bado haujakamilika? Nina imani uchunguzi ukikamilika hatua za kisheria zitachukuliwa na kama angekuwa hana nia ya kuchukua asingegusia.
Kama uchunguzi haujakamilika kwa nini aliropoka hadharani?? Yaani unatuhumu vitu bila kuwa na uhakika?? Kama kweli iko hivyo ulivyosema basi itakuwa akili matope zile.
 
Kama uchunguzi haujakamilika kwa nini aliropoka hadharani?? Yaani unatuhumu vitu bila kuwa na uhakika?? Kama kweli iko hivyo ulivyosema basi itakuwa akili matope zile.
Kwa nilivyomuelewa alitegemea ripoti awe ameshapewa na TAMISEMI lakini Kwa nilivyomuelewa zaidi kuna tume aliyoiunda nje ya hiyo ya TAMISEMI na hiyo tume imemaliza uchunguzi kinachosubiriwa ni ripoti ya TAMISEMI ili ufanyike ulinganisho.

Hapa ninavyoona TAMISEMI wanahaha Sasa hivi kuisaka ripoti aliyonayo mama maana wakitofautiana ni msala huo
 
Nyie nao na matume yenu yasiyo na faida yann?!Tume tume utafikir mpo serious kwel kupambana na wizi, rushwa na ufisadi 🤣🤣🤣
Utawala Bora na WA sheria unafanya uchunguzi kabla ya kuhukumu au kufukuza. Na kuundwa Kwa tume haimaanishi matokeo yatakuwa yapo vile bali ni katika kujihakikishia
 
Back
Top Bottom