masanzakona
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 228
- 121
- Thread starter
- #101
Ahsante! Chanzo cha kuvunjika kwa ndoa nakifahamu, tatizo lilikuwa kwa my x. Ndo ya kikristo inaweza kuvunjika kwa sababu, mtume Paulo ktk kitabu cha Wakoritho amesema sababu ya kuvunja ndoa
Pole bidada!
Kabla hujachagua tafadhari jiulize chanzo cha ku-divorce; ni wewe au x-husband?
Kama ni wewe, umebadilika?
Kama hujabadilika, hao wa3 wako tayari kuvumilia mapungufu yako?
Kama tatizo lilikuwa mmeo, je hao wachumba hawana hizo tabia, kama wanazo uko tayari kuwavumilia?
***Mind you, ndoa ya kikristu haivunjwi ila kwa kifo***