Niolewe na yupi - ushauri wako ni muhimu

Niolewe na yupi - ushauri wako ni muhimu

masanzakona

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2014
Posts
228
Reaction score
121
Kwanza na mshukuru Mungu kwa rehema na baraka mbali mbali anazonijalia katika maisha yangu kila iitwapo leo.

Wana-MMU ninakuja kwenu nikihitaji ushauri juu ya hili suala, kiukweli maisha ya upweke yamenichosha, hii ni baada ya kudivorce na aliyekuwa mume wangu 2007. Mimi ni mama nina watoto wawili, 36yrs, mkristo. Nina nyumba yangu mwenyewe na asset kadhaa, baada ya kuchoshwa na upweke nimeona ni wakati muafaka wa kupata mwenzi mwingine. Nayamudu maisha yangu vizuri tu tatizo ni huo upweke tu, so naombeni mnishauri kuhusu hawa watu hapa chini.


1. Huyu ni mkaka 38yrs hajawahi kuoa ila ana mtoto mmoja, ni mafanyabiashara lakini pia ni mwanafunzi wa chuo fulani hapa nchini. Ana kiwanja, hajajenga so anaishi nyumba ya kupanga, ameonesha nia ya dhati ya kutaka kuishi na mimi pamoja na watoto wangu ila atapenda pia nimzalie watoto wawili. Nikifikiria hapo pa kuzaa watoto wawili nachanganyikiwa kabisa

2. Huyu ni mkaka, 36yrs, hajawahi kuoa ila na mtoto mmoja, ni mwajiriwa kwenye NGO na anasoma online chuo kikuu kimoja huko marekani. Ndio kwanza ameanza ujenzi wa nyumba yake, ananipenda mimi na watoto wangu, nae anapenda Mungu akijalia nimzalie watoto wawili. Hapo kwenye kuzaa nachanganyikiwa lkn pia namuona bado ana ujana mwingi

3. Huyu ni baba, 45yrs, ana familia yake, ana mke na watoto 3, ameajiriwa ofisi ya mtu binafsi, ana nyumba kadhaa, ananipenda kwa dhati, anaipenda familia yangu sana na anajitoa kwa hali na mali, kama tukioana anapenda nimzalie mtoto mmoja tu. Naweza kumzalia mtoto mmoja kama Mungu atapenda, tatizo ni hiyo familia na dini, yeye ni muislam, so anataka mimi niwe bi mdogo

Ushauri wako please, ukiona haikuhusu tafadhali potezea
 
Wa 3 NDO MPANGO MZIMA!

We 36yrs uanze tena uendekeza stress! Mie umenizidi zaidi ya miak 10 ila stress navoziogopa???????????? Akuuuuuuuu! We mtu 38 HAJAJENGA? SERIOUSLY????????????? NA ANA KAZI????????????????/ HATA MABWE PANDE??????????

Mxiuuuuuuuuu! Utajikuta UNAFUGA JITU ZIMAAA wakati hata paka tu umeshindwakumfuga! Olewa na Zee hilo, ujipumzishe majukumu,na stress, mzeeke kwa amai. Vijana hao watakufuja fuja uache kuwalea wanao kibili gates buree ujitwishe misalab yao.
 
Huyo wa miaka 45 ukimkubali ni kwasababu ana mafanikio ama?
  • Unapenda mteremko dada?....unataka ujistareheshe na jasho la mwanamke mwenzako mweee...
  • Eti nini uwe bi mdogo??
  • Kwa mantiki hio unakubali kuwa muislam uwe mke wa pili?
  • au unamaanisha uwe "HAWARA" yake?
  • Kwani we una msimamo gani kuhusu suala la kuzaa?
Kama unaweza kuliconsider inaonekana huyo wa miaka 38 anaweza kuwa perfect match...Au achana na wote tafuta mwengine mfano mgane mlee watoto wenu pamoja!!Wewe ndo muamuzi wa mwisho!!
 
Kwanza na mshukuru Mungu kwa rehema na baraka mbali mbali anazonijalia katika maisha yangu kila iitwapo leo.

Wana-MMU ninakuja kwenu nikihitaji ushauri juu ya hili suala, kiukweli maisha ya upweke yamenichosha, hii ni baada ya kudivorce na aliyekuwa mume wangu 2007. Mimi ni mama nina watoto wawili, 36yrs, mkristo. Nina nyumba yangu mwenyewe na asset kadhaa, baada ya kuchoshwa na upweke nimeona ni wakati muafaka wa kupata mwenzi mwingine. Nayamudu maisha yangu vizuri tu tatizo ni huo upweke tu, so naombeni mnishauri kuhusu hawa watu hapa chini.


1. Huyu ni mkaka 38yrs hajawahi kuoa ila ana mtoto mmoja, ni mafanyabiashara lakini pia ni mwanafunzi wa chuo fulani hapa nchini. Ana kiwanja, hajajenga so anaishi nyumba ya kupanga, ameonesha nia ya dhati ya kutaka kuishi na mimi pamoja na watoto wangu ila atapenda pia nimzalie watoto wawili. Nikifikiria hapo pa kuzaa watoto wawili nachanganyikiwa kabisa

2. Huyu ni mkaka, 36yrs, hajawahi kuoa ila na mtoto mmoja, ni mwajiriwa kwenye NGO na anasoma online chuo kikuu kimoja huko marekani. Ndio kwanza ameanza ujenzi wa nyumba yake, ananipenda mimi na watoto wangu, nae anapenda Mungu akijalia nimzalie watoto wawili. Hapo kwenye kuzaa nachanganyikiwa lkn pia namuona bado ana ujana mwingi

3. Huyu ni baba, 45yrs, ana familia yake, ana mke na watoto 3, ameajiriwa ofisi ya mtu binafsi, ana nyumba kadhaa, ananipenda kwa dhati, anaipenda familia yangu sana na anajitoa kwa hali na mali, kama tukioana anapenda nimzalie mtoto mmoja tu. Naweza kumzalia mtoto mmoja kama Mungu atapenda, tatizo ni hiyo familia na dini, yeye ni muislam, so anataka mimi niwe bi mdogo

Ushauri wako please, ukiona haikuhusu tafadhali potezea


Mi nikijana sina experience na ndoa lakini I believe mume au mke wa kwanza ndo Mme au mke baada ya hapo ni kucheza kamali kama ungeweza ungelea watoto wako tu sasa kwa umri wako kuanza kubeba mimba tena ipo kazi kama unaupweke sana basi chagua huyo wa kwanza maana naisi anakufaa I mean it lakini kuwa mke mweza utacheza mziki ambao utakifanya umfikilie Baba watoto wako so mtaka cha uvunguni sharti ainame so jiandae kuvaa tenet but belive in God .......
 
Duhh!! Wewe unao watatu na jamaa zako pia wakiwa na watatu kama wewe huo mchepuka ukipiga shoti hakuna kusalimika...........by the way sikiliza moyo wako
 
Pole na mitahani wa mwanzo ulifunga naye ndoa au mulizoeana mkazaa mkawa km mume na mke?
Na kuachana km mlifunga je mlipitia taratibu zote?

Ushauri wangu kwako Angalia tabia yake na uchunguze vizuri au wawili wa mwanzo na uone kama na wewe una penda au kuvutiwa na mmoja wao toka moyoni ndiyo mkaribishe kwenye ♥♥ ya maisha yenu

Kila la heri
 
Kwanini uliachika? Oh sorry nishaambiwa hayanihusu na kweli hayanihusu kweli kweli.
 
Sio rahisi kupata chaguo lako kupitia watu wa JF, kwanza hatuwajui tabia zao Wala wanavyokupenda.

Chaguo lako unalijua hasa unapokuwa nae kwani hukupa faraja na kukufanya uchukie kuwa mpweke.
Ni nani Kati ya hao watatu sasa?

Rudi na jibu. Ukishatafakari!
 
mh!we unampenda yupi kati yao?mh!hiyo michepuko hataare.
 
Huyo wa miaka 45 ukimkubali ni kwasababu ana mafanikio ama?
  • Unapenda mteremko dada?....unataka ujistareheshe na jasho la mwanamke mwenzako mweee...
  • Eti nini uwe bi mdogo??
  • Kwa mantiki hio unakubali kuwa muislam uwe mke wa pili?
  • au unamaanisha uwe "HAWARA" yake?
  • Kwani we una msimamo gani kuhusu suala la kuzaa?
Kama unaweza kuliconsider inaonekana huyo wa miaka 38 anaweza kuwa perfect match...Au achana na wote tafuta mwengine mfano mgane mlee watoto wenu pamoja!!Wewe ndo muamuzi wa mwisho!!

I admire your wisdom at times mimi49...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom