Niolewe na yupi - ushauri wako ni muhimu

Niolewe na yupi - ushauri wako ni muhimu

Ahsante! Chanzo cha kuvunjika kwa ndoa nakifahamu, tatizo lilikuwa kwa my x. Ndo ya kikristo inaweza kuvunjika kwa sababu, mtume Paulo ktk kitabu cha Wakoritho amesema sababu ya kuvunja ndoa
Haya mama, twende kazi sababu uhuru ni wako. Wakikuzengua divorce kwa ku-refer mtume Paul na rudi tena JF. Sikuombei ila take care kwani siku hizi hata wanawake wa Kiislam hawapendi wake wenza!
 
pole sana. naelewa. huyu wa 38 anafaa kwa kuolewa naye. 36 mdogo kwako! 45 ni mume w mtu... huyo atakufanya uumie zaidi haswa ile hisia ya kushare mume na mwanamke mwingine. Achana naye! Miliki wa kwako hata kama ni masikini.
Uzuri wewe hali yako kiuchumi ni nzuri... Pesa na Mali zinatafutwa, isitoshe umekuwa nazo na bado unajisikia umepungukiwa huna raha
 
Wachunguze kwanza kwanini hawajaoa mpaka sasa, huenda play boys hao wawili then unaemridhia olewa, lkn huyo mume wa mtu atakupa pressure tu bmkubwa. Freshers ucwaguse, wanaume wengi ambao hawajawahi oa hawapendi used, watakuja wakukatae baadae.
 
Dunia duara hii kaka, mwingine analia hatongozwi, hata wa kumuambia jambo hayupo lakini msanzakona anawashortlist

Ram,seriously katika hali ya kawaida sana. Ktk mahusiano ukiona mtu unaanza kumfikria kuwa a life partner ni kwamba kuna baadhi ya vipengele amesha qualify kama mgegedo nk. Ndo maana dada yetu ktk cases zote tatu anazungumzia kuwa na nyumba na kuwazalia watoto.
Hebu tujiulize inawezekana vipi bibie anazungumzia sijui nimzalie watoto wangapi ilihali jamaa hajapiga mashine?!! Mazungumzo haya si yanafanyika kitandani?! Wakati wa kutathmini mgegedo?!
Dada yangu unataka kutuambia single ladies wote ni wapweke?! Kama chuo cha kwanza kimekushinda,unadhani cha pili utakiweza. Au una amini umepata Angel?!
 
Nakupa honest opinion. umri wako bado waweza zaa watoto wawili. ukifika 40 unapumzika kabisa! Huyo wa 38 anaweza support familia, kwenye chakula, luku, bills za maji na school fees kw watoto?
Kama anaweza au ana mipango ya kuonyesha atamudu mkubali. Kama hawezi kabisa achana naye kwa sababu mzigo utakuelemea utamchoka na mwisho wa siku mtaachana wakati idadi ya watoto imeongezeka hivyo kubaki single tena huku jukumu limekuwa kubwa zaidi.
Mapenzi yana expire mkikaa muda mrefu, kinachobakia ni responsibilities ndani ya ndoa.
Mume provider, mke mlezi wa familia, trust me!
 
Dunia duara hii kaka, mwingine analia hatongozwi, hata wa kumuambia jambo hayupo lakini msanzakona anawashortlist

Ram,seriously katika hali ya kawaida sana. Ktk mahusiano ukiona mtu unaanza kumfikria kuwa a life partner ni kwamba kuna baadhi ya vipengele amesha qualify kama mgegedo nk. Ndo maana dada yetu ktk cases zote tatu anazungumzia kuwa na nyumba na kuwazalia watoto.
Hebu tujiulize inawezekana vipi bibie anazungumzia sijui nimzalie watoto wangapi ilihali jamaa hajapiga mashine?!! Mazungumzo haya si yanafanyika kitandani?! Wakati wa kutathmini mgegedo?!
Dada yangu unataka kutuambia single ladies wote ni wapweke?! Kama chuo cha kwanza kimekushinda,unadhani cha pili utakiweza. Au una amini umepata Angel?!

Nakujibia kwenye suala la single ladies huwa ni wapweke au la? watajishebedua hapa wale walioko under 30. Zaidi ya hapo wanawake walio matured kuishi peke yao inahitaji moyo, na hakuna anayependa kuishi mwenyewe trust me! ni vile wamekosewa na partners wao au waume zao ndo sababu wanaamua kuishi wenyewe! lakini wape muda miaka miwili mpk mitano wakiwa single, watarudi hapa kutafuta partners kama huyu mleta thread! Mpango wa Mungu si mwanadamu aishi mwenyewe! Hata wanaume hawawezi kuishi single forever!
 
mimi nakushauri baki hivyo hivyo maana kama kweli wewe ni mkristo na umepewa talaka hauruhusiwi kuolewa na mwanaume yoyote maana ukifanya hivyo utakuwa unazini kwa mujibu wa maandiko.Baki tu hivyohivyo mbona siku hizi kunavitu vingi vinavyo ondoa upweke.Au kama vipi mrudiane na mme wako mliye achana.
 
acha kukurupuka wewe hayo maneno yako mjibu mleta uzi sio mimi tafadhari
ndio mani hata mimi nilishtukia imeenda pasipo takiwa ila itakua kaupata, hata wewe usikurupuke na violence...not everywhere violence can solve pro!
 
Nashukuru kwa kutambua kosa lako,inajulikana kuwa kwa kila general rule kuna mbadala wake
ndio mani hata mimi nilishtukia imeenda pasipo takiwa ila itakua kaupata, hata wewe usikurupuke na violence...not everywhere violence can solve pro![/QUOTE
 
My dear mimi49, siolewi kwa sababu ya kutafuta mali, mali nilizonazo zinanitosha sana, au kwa kuwa sikkuorodhesha hapo juu. Naomba unisome na kunielewa ninahitaji nini hasa. Kuhusu kuzaa sikuwa na plan ya kuzaa tena, sana sana labda niongeze mtoto mmoja

Hapana inaonyesha ww ni mali oriented kama sio hivyo kuliluwa na haja gani ya kutaja mali zako versus zao? Au ulivyoandika hukujua unaandika nini?
 
Soma Mathayo 19:9-

mimi nakushauri baki hivyo hivyo maana kama kweli wewe ni mkristo na umepewa talaka hauruhusiwi kuolewa na mwanaume yoyote maana ukifanya hivyo utakuwa unazini kwa mujibu wa maandiko.Baki tu hivyohivyo mbona siku hizi kunavitu vingi vinavyo ondoa upweke.Au kama vipi mrudiane na mme wako mliye achana.
 
Ahsante, afadhali hata wewe umeliona hili
Ubarikiwe

Nakujibia kwenye suala la single ladies huwa ni wapweke au la? watajishebedua hapa wale walioko under 30. Zaidi ya hapo wanawake walio matured kuishi peke yao inahitaji moyo, na hakuna anayependa kuishi mwenyewe trust me! ni vile wamekosewa na partners wao au waume zao ndo sababu wanaamua kuishi wenyewe! lakini wape muda miaka miwili mpk mitano wakiwa single, watarudi hapa kutafuta partners kama huyu mleta thread! Mpango wa Mungu si mwanadamu aishi mwenyewe! Hata wanaume hawawezi kuishi single forever!
 
Kwahiyo mama hao wote watatu ni wachumba?
moyo wako huwa unasisimka zaidi kwa yupi kati yao?
.....BAKI NJIA KUU ACHA MICHEPUKO....UKIMWI UPO.sipati picha wote lazima kwa mda tofauti wamepata papuchi...hakika mtandao ningumu kuisha
 
watu mlivyomsambulia mleta mada jamani, hadi atajuta kuomba ushauri hapa..sio vizuri kumhukumu mtu, kwamba mzinifu, au sijui nn, sisi tumpe ushauri kutokana na hali yake kama alivyoileta..vinginevyo tutawakatisha watu tamaa kuleta yanayowakwaza wakihofia kushambuliwa..
 
Back
Top Bottom