Nini tofauti ya msomi na asiye msomi?

Nini tofauti ya msomi na asiye msomi?

Kusoma hakumuondolei mtu upumbavu kuna kusoma na kuelimika wengi wamesoma Ila hawajeelimika hujawai kumuona msomi anaweka vidore puani tena bila kitambaa anachokonoa uchafu?
Msomi ni mtu aliyepata elimu au maarifa kupitia kusoma, kujifunza, na kuelewa mambo kwa kiwango fulani.
Asiye msomi ni mtu ambaye hajapata elimu hiyo kwa kiwango hicho, au hana mafunzo rasmi ya kutosha katika eneo fulani.
Hata hivyo, kuwa msomi hakumaanishi mtu ana hekima zaidi katika kila jambo, na asiye msomi haimaanishi hana maarifa. Watu wengi wasio na elimu rasmi wanaweza kuwa na uzoefu, ujuzi, na busara kubwa katika maisha au kazi zao.
 
Msomi ni mtu aliyepata elimu au maarifa kupitia kusoma, kujifunza, na kuelewa mambo kwa kiwango fulani.
Asiye msomi ni mtu ambaye hajapata elimu hiyo kwa kiwango hicho, au hana mafunzo rasmi ya kutosha katika eneo fulani.
Hata hivyo, kuwa msomi hakumaanishi mtu ana hekima zaidi katika kila jambo, na asiye msomi haimaanishi hana maarifa. Watu wengi wasio na elimu rasmi wanaweza kuwa na uzoefu, ujuzi, na busara kubwa katika maisha au kazi zao.
Naam
 
Msomi ni mtu aliyepata elimu au maarifa kupitia kusoma, kujifunza, na kuelewa mambo kwa kiwango fulani.
Asiye msomi ni mtu ambaye hajapata elimu hiyo kwa kiwango hicho, au hana mafunzo rasmi ya kutosha katika eneo fulani.
Hata hivyo, kuwa msomi hakumaanishi mtu ana hekima zaidi katika kila jambo, na asiye msomi haimaanishi hana maarifa. Watu wengi wasio na elimu rasmi wanaweza kuwa na uzoefu, ujuzi, na busara kubwa katika maisha au kazi zao.
👏👏👏 chukua🌹🌹
 
Kitu kimoja nasema kila siku..
Kuna akili si ndio intelligence ama? na maarifa ndio knowledge eeh!!


Akili mtu anazaliwa nayo, shule inakupa maarifa, maarifa pia tunayapata mtaami hadi mtandaoni.
Akili ni uwezo wa mtu katika kulisoma jambo, kuling'amua kulichakata na kufanya maamuzi..

Mfano tuko darasani.. mwalimu akasema kujumlisha ni kuongeza idafi, mfano 2+2=4
KIsha akatoa swali juma alikuwa na embe 2, akaokota 2, jumla atakuwa na embe ngapi..
Sasa hapo akili ndio inatumika, baada ya maarifa yale aliyokupa mwalimu.

Huo ni mfano mdogo, unakuoa muongozo..

Na intelijensi inazidiana.. messi ni intelligente kwenye mpira wa miguu, laki i unaweza ukashangaa kuna vitu vinamsumbua maishani, haswa katika kufanya maamuzi sahihi..
Unaweza ukakuta mtu ni dr. Wa uchumi kabisa lakini mambo madogo madogo katika familia yake yakamsumbua.
Mtu anaweza akawa kilaza wa somo fulani lakini akawa bora katika kufanya jambo fulani, kuchukua hatua, kusolve mambo mengine n.k

Kuwa na akili ni jambo pana sana, na watu wana akilo za tofauti, usishamgae eisten migogoro ya ndoa alikuwa anasaidiwa na kilaza tu kama MIMI 🤣😂
 
Kitu kimoja nasema kila siku..
Kuna akili si ndio intelligence ama? na maarifa ndio knowledge eeh!!


Akili mtu anazaliwa nayo, shule inakupa maarifa, maarifa pia tunayapata mtaami hadi mtandaoni.
Akili ni uwezo wa mtu katika kulisoma jambo, kuling'amua kulichakata na kufanya maamuzi..

Mfano tuko darasani.. mwalimu akasema kujumlisha ni kuongeza idafi, mfano 2+2=4
KIsha akatoa swali juma alikuwa na embe 2, akaokota 2, jumla atakuwa na embe ngapi..
Sasa hapo akili ndio inatumika, baada ya maarifa yale aliyokupa mwalimu.

Huo ni mfano mdogo, unakuoa muongozo..

Na intelijensi inazidiana.. messi ni intelligente kwenye mpira wa miguu, laki i unaweza ukashangaa kuna vitu vinamsumbua maishani, haswa katika kufanya maamuzi sahihi..
Unaweza ukakuta mtu ni dr. Wa uchumi kabisa lakini mambo madogo madogo katika familia yake yakamsumbua.
Mtu anaweza akawa kilaza wa somo fulani lakini akawa bora katika kufanya jambo fulani, kuchukua hatua, kusolve mambo mengine n.k

Kuwa na akili ni jambo pana sana, na watu wana akilo za tofauti, usishamgae eisten migogoro ya ndoa alikuwa anasaidiwa na kilaza tu kama MIMI 🤣😂
Leo napata comment za madini tupu siku yangu imebarikiwa
Uzi wangu umebarikiwa


Hadi wewe makaveli10 umeongea point tupu 🙌😅
 
Back
Top Bottom