Kuna tofauti kati ya elimu na kuelimika,unaweza ukawa na elimu ila ukawa hujaelimika,elimu yako inakua haijakukomboa kifikra,
Pia tambua kua kuna formal education na informal education,elimu ya darasani na elimu ya mtaani,
Akili ni kile kinachobaki baada ya kuondoa kile ulichofundishwa darasani,
Usichanganye kati ya elimu na inteligence,ni vitu viwili tofauti kabisa,
Education is the structured acquisition of knowledge and credentials.
Intelligence is the innate or developed capacity to think critically, adapt, and apply knowledge in real-world scenarios