Nini tofauti ya msomi na asiye msomi?

Nini tofauti ya msomi na asiye msomi?

Mimi bado nina changamoto ya kubadilishana mawazo na kuweka mambo sawa mf.Kesho kutwa tutakuwa na kikao cha ndugu moja ya ajenda kuu ni kuhusu dada yetu aliyetoroshwa na mwanaume
😀 😀 umenikumbusha mbali sana,,, nikiwa mdogo kiasi kuna kikao cha wajomba walikaa kumjadili binadamu yangu mmoja ambaye akiwa njiani kutoka kwao ( Tarime ) akisindikizwa kwenda kwa mumewe aliyokuwa akifanya kazi Kilombero Sugar-Morogoro walipotea kusikojulikana na msindikizaji ambaye alikuwa mdogoake na muoaji..
Wakaja kurudi wenyewe nyumbani baada ya miaka kama mitatu wakiwa tayari na watoto 2 na maisha yamewagonga...
 
😀 😀 umenikumbusha mbali sana,,, nikiwa mdogo kiasi kuna kikao cha wajomba walikaa kumjadili binadamu yangu mmoja ambaye akiwa njiani kutoka kwao ( Tarime ) akisindikizwa kwenda kwa mumewe aliyokuwa akifanya kazi Kilombero Sugar-Morogoro walipotea kusikojulikana na msindikizaji ambaye alikuwa mdogoake na muoaji..
Wakaja kurudi wenyewe nyumbani baada ya miaka kama mitatu wakiwa tayari na watoto 2 na maisha yamewagonga...
To be continued
 
Kuna jambo huwa linanichanganya sana🤔

Je, elimu imekuongezea akili au imekuondolea upumbavu?

Kwa sababu nimeona watu wenye elimu za juu sana, vyeti vingi na majina marefu, lakini baadhi ya maamuzi yao yanakufanya ujiulize kama kweli elimu peke yake inatosha kumfanya mtu awe na akili

Unakuta mtu ni kiongozi ameshika nyadhifa mbali mbali ila ukitazama maamuzi yake unabaki na alama ya mshangao heh huyu si ni msomi?

Unajiuliza huyu elimu haikua na msaada kwake ?

Mbona anaamua,anaongea kama mjinga?


Wakati huo huo unakutana na mtu ambaye hakusoma sana au hakupata nafasi ya kusoma kabisa, lakini ana uwezo mkubwa wa kufikiri, kutatua matatizo na kuona mambo kwa upeo mpana kuliko hata baadhi ya wasomi

Hapo ndipo nikajiuliza, ni nini hasa kinachomfanya mtu aitwe genius na ni nini kinachomfanya aonekane mpumbavu?

Je, ni kiwango cha elimu?
Je, ni uwezo wa kufikiri?
Je, ni maamuzi anayofanya kila siku?
Au ni namna anavyojifunza kutokana na makosa yake?

Kwa mtazamo wangu, elimu inaweza kuongeza maarifa, lakini si lazima iondoe upumbavu

Maana kuna wasomi wapumbavu(hapa nisamehewe)

Na kutosoma sana si lazima kumfanye mtu akose akili

Wewe unaonaje?
Tofauti ya mtu mwenye akili nyingi na mpumbavu unaiona wapi?
Na elimu imekusaidia nini hasa kwenye hilo?

Chombezo( ni kua hata wapumbavu huzeeka)

ShesRise_1 🤚

It's Furahi deiiiiii💃
Haya maoni huwa ni ya watu ambao hamna elim. Embu tueleze elim yako ni darasa la ngapi?????

Ulikimbia shule Kwa upumbavu wako. Unaambiwa nenda shule unasema madaftari mazito.

Afu Leo hii unaanza kuwalaumu wasomi na kuwachamba kama mwanamke.
 
Kuna jambo huwa linanichanganya sana🤔

Je, elimu imekuongezea akili au imekuondolea upumbavu?

Kwa sababu nimeona watu wenye elimu za juu sana, vyeti vingi na majina marefu, lakini baadhi ya maamuzi yao yanakufanya ujiulize kama kweli elimu peke yake inatosha kumfanya mtu awe na akili

Unakuta mtu ni kiongozi ameshika nyadhifa mbali mbali ila ukitazama maamuzi yake unabaki na alama ya mshangao heh huyu si ni msomi?

Unajiuliza huyu elimu haikua na msaada kwake ?

Mbona anaamua,anaongea kama mjinga?


Wakati huo huo unakutana na mtu ambaye hakusoma sana au hakupata nafasi ya kusoma kabisa, lakini ana uwezo mkubwa wa kufikiri, kutatua matatizo na kuona mambo kwa upeo mpana kuliko hata baadhi ya wasomi

Hapo ndipo nikajiuliza, ni nini hasa kinachomfanya mtu aitwe genius na ni nini kinachomfanya aonekane mpumbavu?

Je, ni kiwango cha elimu?
Je, ni uwezo wa kufikiri?
Je, ni maamuzi anayofanya kila siku?
Au ni namna anavyojifunza kutokana na makosa yake?

Kwa mtazamo wangu, elimu inaweza kuongeza maarifa, lakini si lazima iondoe upumbavu

Maana kuna wasomi wapumbavu(hapa nisamehewe)

Na kutosoma sana si lazima kumfanye mtu akose akili

Wewe unaonaje?
Tofauti ya mtu mwenye akili nyingi na mpumbavu unaiona wapi?
Na elimu imekusaidia nini hasa kwenye hilo?

Chombezo( ni kua hata wapumbavu huzeeka)

ShesRise_1 🤚

It's Furahi deiiiiii💃
Elimu bila maarifa ama upeo ni sawa na upumbavu
 
😀 😀 umenikumbusha mbali sana,,, nikiwa mdogo kiasi kuna kikao cha wajomba walikaa kumjadili binadamu yangu mmoja ambaye akiwa njiani kutoka kwao ( Tarime ) akisindikizwa kwenda kwa mumewe aliyokuwa akifanya kazi Kilombero Sugar-Morogoro walipotea kusikojulikana na msindikizaji ambaye alikuwa mdogoake na muoaji..
Wakaja kurudi wenyewe nyumbani baada ya miaka kama mitatu wakiwa tayari na watoto 2 na maisha yamewagonga...
Duuuh hii noma kinoma noma
 
Kwa hiyo msomi anaweza kua mjinga pamoja na kua ni msomi?
Binadamu tulio wengi tumezaliwa na tunaendeshwa na ego, once ukijua namna ya kudhibiti ego basi hata uwezo wako wa kufikiri na kuamua unakuwa mzuri (fikiri kabla ya kutenda).

Unaweza kuwa msomi kwa taaluma fulani ila ukakosa elimu juu ya critical thinking. Hapa sasa ukimkuta msomi kwa asili yake ni mjeuri, hutoacha kushangaa maamuzi anayoyafikia.

Vilevile unaweza kukutana na asiyesoma ila kwa asili yake ni mtaratibu na anavipawa vya kufikiri kimakinifu (hili kundi ni wachache).

Hivyo basi, kusoma sana sio kielelezo cha mtu kuwa mahiri kwenye kufikiri na kufikia maamuzi sahihi juu ya mambo mbalimbali ndani na nje ya taaluma yake. Mara nyingi haiba ya mtu ndiyo inaamua.
 
Binadamu tulio wengi tumezaliwa na tunaendeshwa na ego, once ukijua namna ya kudhibiti ego basi hata uwezo wako wa kufikiri na kuamua unakuwa mzuri (fikiri kabla ya kutenda).

Unaweza kuwa msomi kwa taaluma fulani ila ukakosa elimu juu ya critical thinking. Hapa sasa ukimkuta msomi kwa asili yake ni mjeuri, hutoacha kushangaa maamuzi anayoyafikia.

Vilevile unaweza kukutana na asiyesoma ila kwa asili yake ni mtaratibu na anavipawa vya kufikiri kimakinifu (hili kundi ni wachache).

Hivyo basi, kusoma sana sio kielelezo cha mtu kuwa mahiri kwenye kufikiri na kufikia maamuzi sahihi juu ya mambo mbalimbali ndani na nje ya taaluma yake. Mara nyingi haiba ya mtu ndiyo inaamua.
Ego ndo nini mkuu ebu toa mfano ili tuiepuke
 
Kuna jambo huwa linanichanganya sana🤔

Je, elimu imekuongezea akili au imekuondolea upumbavu?

Kwa sababu nimeona watu wenye elimu za juu sana, vyeti vingi na majina marefu, lakini baadhi ya maamuzi yao yanakufanya ujiulize kama kweli elimu peke yake inatosha kumfanya mtu awe na akili

Unakuta mtu ni kiongozi ameshika nyadhifa mbali mbali ila ukitazama maamuzi yake unabaki na alama ya mshangao heh huyu si ni msomi?

Unajiuliza huyu elimu haikua na msaada kwake ?

Mbona anaamua,anaongea kama mjinga?


Wakati huo huo unakutana na mtu ambaye hakusoma sana au hakupata nafasi ya kusoma kabisa, lakini ana uwezo mkubwa wa kufikiri, kutatua matatizo na kuona mambo kwa upeo mpana kuliko hata baadhi ya wasomi

Hapo ndipo nikajiuliza, ni nini hasa kinachomfanya mtu aitwe genius na ni nini kinachomfanya aonekane mpumbavu?

Je, ni kiwango cha elimu?
Je, ni uwezo wa kufikiri?
Je, ni maamuzi anayofanya kila siku?
Au ni namna anavyojifunza kutokana na makosa yake?

Kwa mtazamo wangu, elimu inaweza kuongeza maarifa, lakini si lazima iondoe upumbavu

Maana kuna wasomi wapumbavu(hapa nisamehewe)

Na kutosoma sana si lazima kumfanye mtu akose akili

Wewe unaonaje?
Tofauti ya mtu mwenye akili nyingi na mpumbavu unaiona wapi?
Na elimu imekusaidia nini hasa kwenye hilo?

Chombezo( ni kua hata wapumbavu huzeeka)

ShesRise_1 🤚

It's Furahi deiiiiii💃
Elimu ya kibongo, haijaketi sana katika kumjenga mtu internally. How? Hii ni elimu ya kikoloni aambayo imelenga kumuandaa mtu kuja kupewa maelekezo, yaani kufanya collar jobs tu.

Lakini haijikiti katika kuassessuwezo halisi wa akili, na wala haijajikita katika kumjenga mtu kihivyo. Kupitia necha ya mitihani, unaona imelenga kwenye kuimpart na kupima uwezo wa kushhika vitu. Lakini haijalenga katika kupima decision making, na creativity yaani matumizi halisi ya akkili za mtu.

Ndio maana ile Aptitude Test wengi wanailalamikia.
 
Back
Top Bottom