adriz de mbusii
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 16,786
- 37,803
loose Nut kama jina automatically natimkichwani zimelegea na dishi limeyumbaHapo mwerevu ni nani ?
Mpumbavu ni nani?
loose Nut kama jina automatically natimkichwani zimelegea na dishi limeyumbaHapo mwerevu ni nani ?
Mpumbavu ni nani?
Shukran your deserve Platinum membership 👏Kila mtu ni mjinga kwa wakati wake,ujinga huondoka baada ya kulijua jambo ambalo ulikua hulijui,unaweza ukawa Pilot ila ukawa mjinga kwenye kutengeneza Baiskeli.
Tofauti kuu kati ya "Genius" (Mtu mwenye akili ya kipekee) na "Mpumbavu" ni uwezo wa kutambua ukweli, kufikiri kwa kina, na kufanya maamuzi sahihi. Mwanafizikia mashuhuri Albert Einstein aliwahi kunukuliwa akisema: "Tofauti kati ya genius na upumbavu ni kwamba genius ana mipaka yake," ikimaanisha kuwa akili kubwa inajua mipaka ya uwezo wake, lakini upumbavu hauna kikomo.Kuna jambo huwa linanichanganya sana🤔
Je, elimu imekuongezea akili au imekuondolea upumbavu?
Kwa sababu nimeona watu wenye elimu za juu sana, vyeti vingi na majina marefu, lakini baadhi ya maamuzi yao yanakufanya ujiulize kama kweli elimu peke yake inatosha kumfanya mtu awe na akili
Unakuta mtu ni kiongozi ameshika nyadhifa mbali mbali ila ukitazama maamuzi yake unabaki na alama ya mshangao heh huyu si ni msomi?
Unajiuliza huyu elimu haikua na msaada kwake ?
Mbona anaamua,anaongea kama mjinga?
Wakati huo huo unakutana na mtu ambaye hakusoma sana au hakupata nafasi ya kusoma kabisa, lakini ana uwezo mkubwa wa kufikiri, kutatua matatizo na kuona mambo kwa upeo mpana kuliko hata baadhi ya wasomi
Hapo ndipo nikajiuliza, ni nini hasa kinachomfanya mtu aitwe genius na ni nini kinachomfanya aonekane mpumbavu?
Je, ni kiwango cha elimu?
Je, ni uwezo wa kufikiri?
Je, ni maamuzi anayofanya kila siku?
Au ni namna anavyojifunza kutokana na makosa yake?
Kwa mtazamo wangu, elimu inaweza kuongeza maarifa, lakini si lazima iondoe upumbavu
Maana kuna wasomi wapumbavu(hapa nisamehewe)
Na kutosoma sana si lazima kumfanye mtu akose akili
Wewe unaonaje?
Tofauti ya mtu mwenye akili nyingi na mpumbavu unaiona wapi?
Na elimu imekusaidia nini hasa kwenye hilo?
Chombezo( ni kua hata wapumbavu huzeeka)
ShesRise_1 🤚
It's Furahi deiiiiii💃
Sawa maisha kwa jumla ni biasharaUmefanya nimecheka😅😅
Unataka kusema wakati anakesha kuyatengeza hajui ni wapi pa kuyatumia
Mkuu si anatengeneza ili afanye biashara au?
Iko hivi , kuna upumbavu wa aina tatu.🫡🫡🫡👏👏👏 asante kaka kama una cha kuongeza ongeza nisome tena
KaribuTofauti kuu kati ya "Genius" (Mtu mwenye akili ya kipekee) na "Mpumbavu" ni uwezo wa kutambua ukweli, kufikiri kwa kina, na kufanya maamuzi sahihi. Mwanafizikia mashuhuri Albert Einstein aliwahi kunukuliwa akisema: "Tofauti kati ya genius na upumbavu ni kwamba genius ana mipaka yake," ikimaanisha kuwa akili kubwa inajua mipaka ya uwezo wake, lakini upumbavu hauna kikomo.
Nitarejea
Noma sana aiseeSawa maisha kwa jumla ni biashara
Sasa ni juu yako biashara ya ustawi au maangamizi.! 😎
Kua genius maana yake unazungumzia fikra mfano evil genius maana yake fikra mbaya, uwezo wa asili wa kufikiri, uwezo wa asili wa kuelewa, uwezo wa asili wa kufanya jambo/kitu fulani bila kufundishwa na mtu, ni mtu kua zaidi ya mtu mwerevu, unaelewa nini kwa kutumia uwezo wako wa asili au unaelewa kiasi gani kwa kutumia uwezo wako wa asili au ana uelewa wa kiasi gani kuhusu kitu au jambo fulani kwa kutumia uwezo wake wa asili ndio tunaita genius maana yake wewe una kipaji, uwezo wa asili ni kitu ambacho hujakaa ukafundishwa ni kitu umezaliwa nacho wewe kiasili upo hivyo mfano uwezo wa asili wa kuogelea, uwezo wa asili wa kuongea, uwezo wa asili wa kukimbia, uwezo wa asili wa kuhesabu, uwezo wa asili wa kuimba, uwezo wa asili wa kutibu watu, nkSawa asantee
Nakosa cha kuongeza✍️Iko hivi , kuna upumbavu wa aina tatu.
Huu wa kwanza ,ni ule wa mtu kudhani tayari anajua kila kitu, hivyo hapaswi kujifunza tena.
Wasomi wengi wana huu upumbavu, unakutana na mtu anakwambia ("nina PhD ,una nini wewe mpaka unielekeze hili?" )
Kaka unaniongezea kitu hapaUpumbavu wa pili ni pale ambapo mtu ana akili, ana uwezo lakini anaogopa kukosea hadharani kiasi kwamba hajiamini.
Anakaa kimya wakati anapaswa kusema., anakuwa mtu wa kufuata mkondo wakati anapaswa kupinga.
"Viongozi wengi wana huu upumbavu"
Asanteee broo👏👏👏Upumbavu wa tatu ni ule wa mfumo, mtu mwenye akili akizingirwa na watu wasio na nia njema, mifumo mibaya, au mazingira yanayomkandamiza ,polepole akili yake inaanza kuzima kama mshumaa.
Hapa majibu tayari ninayo ila nitajitafakari tenaKujipima kama una akili, jiulize hivi.
Unaamua vipi ukiwa peke yako bila kuwepo mtu wa kukuangalia?
Huwa unashughulika vipi na mtu/watu wanaokuchukia bila sababu?
Unakubali vipi makosa yako mbele ya watu?
Unawezaje kumsaidia mtu asiyeweza kukufaa kwa chochote?
Asante kwa maoni yako umedadavua vyema 🙏🙏Kua genius maana yake unazungumzia fikra mfano evil genius maana yake fikra mbaya, uwezo wa asili wa kufikiri, uwezo wa asili wa kuelewa, uwezo wa asili wa kufanya jambo/kitu fulani bila kufundishwa na mtu, ni mtu kua zaidi ya mtu mwerevu, unaelewa nini kwa kutumia uwezo wako wa asili au unaelewa kiasi gani kwa kutumia uwezo wako wa asili au ana uelewa wa kiasi gani kuhusu kitu au jambo fulani kwa kutumia uwezo wake wa asili ndio tunaita genius maana yake wewe una kipaji, uwezo wa asili ni kitu ambacho hujakaa ukafundishwa ni kitu umezaliwa nacho wewe kiasili upo hivyo mfano uwezo wa asili wa kuogelea, uwezo wa asili wa kuongea, uwezo wa asili wa kukimbia, uwezo wa asili wa kuhesabu, uwezo wa asili wa kuimba, uwezo wa asili wa kutibu watu, nk
Pia unapozungumzia genius unazungumzia intellectual, unazungumzia expert mfano wa JF expert Member, unazungumzia talent ya mtu na pia unazungumzia aptitude
Mpumbavu nimeshamuelezea ni mtu wa aina gani ni mtu mpuuzi mpuuzi tu asie na maana yoyote ni sawa useme MKANGAFFU, mpumbavu hana tofauti na mavi ya binadamu yakishatolewa tumboni hayana maana tena mfano wewe hapo ukishakunya mavi yako hua yana maana gani tena zaidi ya kuchimbiwa chini? Sasa huo ndio upumbavu
Niishie hapo
Keep showing up like this, tunahitaji watu wanaouliza maswali yenye mantiki kama haya.Nakosa cha kuongeza✍️
Kaka unaniongezea kitu hapa
Nadhani hata kwa wengine watakao soma comment hapa wataondoka na kitu shukrani sana
Asanteee broo👏👏👏
Hapa majibu tayari ninayo ila nitajitafakari tena
Thank you Marcostilone 👏👏🫡
Shukran wakati mwema kwako piaKeep showing up like this, tunahitaji watu wanaouliza maswali yenye mantiki kama haya.
Uwe na wakati mwema.
uKua genius maana yake unazungumzia fikra mfano evil genius maana yake fikra mbaya, uwezo wa asili wa kufikiri, uwezo wa asili wa kuelewa, uwezo wa asili wa kufanya jambo/kitu fulani bila kufundishwa na mtu, ni mtu kua zaidi ya mtu mwerevu, unaelewa nini kwa kutumia uwezo wako wa asili au unaelewa kiasi gani kwa kutumia uwezo wako wa asili au ana uelewa wa kiasi gani kuhusu kitu au jambo fulani kwa kutumia uwezo wake wa asili ndio tunaita genius maana yake wewe una kipaji, uwezo wa asili ni kitu ambacho hujakaa ukafundishwa ni kitu umezaliwa nacho wewe kiasili upo hivyo mfano uwezo wa asili wa kuogelea, uwezo wa asili wa kuongea, uwezo wa asili wa kukimbia, uwezo wa asili wa kuhesabu, uwezo wa asili wa kuimba, uwezo wa asili wa kutibu watu, nk
Pia unapozungumzia genius unazungumzia intellectual, unazungumzia expert mfano wa JF expert Member, unazungumzia talent ya mtu na pia unazungumzia aptitude
Mpumbavu nimeshamuelezea ni mtu wa aina gani ni mtu mpuuzi mpuuzi tu asie na maana yoyote ni sawa useme MKANGAFFU, mpumbavu hana tofauti na mavi ya binadamu yakishatolewa tumboni hayana maana tena mfano wewe hapo ukishakunya mavi yako hua yana maana gani tena zaidi ya kuchimbiwa chini? Sasa huo ndio upumbavu
Niishie hapo
Madhara ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja ndiyo haya.Kua genius maana yake unazungumzia fikra mfano evil genius maana yake fikra mbaya, uwezo wa asili wa kufikiri, uwezo wa asili wa kuelewa, uwezo wa asili wa kufanya jambo/kitu fulani bila kufundishwa na mtu, ni mtu kua zaidi ya mtu mwerevu, unaelewa nini kwa kutumia uwezo wako wa asili au unaelewa kiasi gani kwa kutumia uwezo wako wa asili au ana uelewa wa kiasi gani kuhusu kitu au jambo fulani kwa kutumia uwezo wake wa asili ndio tunaita genius maana yake wewe una kipaji, uwezo wa asili ni kitu ambacho hujakaa ukafundishwa ni kitu umezaliwa nacho wewe kiasili upo hivyo mfano uwezo wa asili wa kuogelea, uwezo wa asili wa kuongea, uwezo wa asili wa kukimbia, uwezo wa asili wa kuhesabu, uwezo wa asili wa kuimba, uwezo wa asili wa kutibu watu, nk
Pia unapozungumzia genius unazungumzia intellectual, unazungumzia expert mfano wa JF expert Member, unazungumzia talent ya mtu na pia unazungumzia aptitude
Mpumbavu nimeshamuelezea ni mtu wa aina gani ni mtu mpuuzi mpuuzi tu asie na maana yoyote ni sawa useme MKANGAFFU, mpumbavu hana tofauti na mavi ya binadamu yakishatolewa tumboni hayana maana tena mfano wewe hapo ukishakunya mavi yako hua yana maana gani tena zaidi ya kuchimbiwa chini? Sasa huo ndio upumbavu
Niishie hapo
Karibu
Pale juu mboni kichwa kimebadirishwa ilikua Kuna tofauti gani kati ya Genius na Mpumbavu sasa wanauliza Ipi tofauti kati ya msomi na asie msomi?Asante kwa maoni yako umedadavua vyema 🙏🙏
Kwa Tanzania ni kuvaa suti na tai na kunywa biaKuna jambo huwa linanichanganya sana🤔
Je, elimu imekuongezea akili au imekuondolea upumbavu?
Kwa sababu nimeona watu wenye elimu za juu sana, vyeti vingi na majina marefu, lakini baadhi ya maamuzi yao yanakufanya ujiulize kama kweli elimu peke yake inatosha kumfanya mtu awe na akili
Unakuta mtu ni kiongozi ameshika nyadhifa mbali mbali ila ukitazama maamuzi yake unabaki na alama ya mshangao heh huyu si ni msomi?
Unajiuliza huyu elimu haikua na msaada kwake ?
Mbona anaamua,anaongea kama mjinga?
Wakati huo huo unakutana na mtu ambaye hakusoma sana au hakupata nafasi ya kusoma kabisa, lakini ana uwezo mkubwa wa kufikiri, kutatua matatizo na kuona mambo kwa upeo mpana kuliko hata baadhi ya wasomi
Hapo ndipo nikajiuliza, ni nini hasa kinachomfanya mtu aitwe genius na ni nini kinachomfanya aonekane mpumbavu?
Je, ni kiwango cha elimu?
Je, ni uwezo wa kufikiri?
Je, ni maamuzi anayofanya kila siku?
Au ni namna anavyojifunza kutokana na makosa yake?
Kwa mtazamo wangu, elimu inaweza kuongeza maarifa, lakini si lazima iondoe upumbavu
Maana kuna wasomi wapumbavu(hapa nisamehewe)
Na kutosoma sana si lazima kumfanye mtu akose akili
Wewe unaonaje?
Tofauti ya mtu mwenye akili nyingi na mpumbavu unaiona wapi?
Na elimu imekusaidia nini hasa kwenye hilo?
Chombezo( ni kua hata wapumbavu huzeeka)
ShesRise_1 🤚
It's Furahi deiiiiii💃
Nimeomba mimiPale juu mboni kichwa kimebadirishwa ilikua Kuna tofauti gani kati ya Genius na Mpumbavu sasa wanauliza Ipi tofauti kati ya msomi na asie msomi?
Anaevaa suti na tai na kunywa bia ndio msomi au?Kwa Tanzania ni kuvaa suti na tai na kunywa bia