Nini tofauti ya msomi na asiye msomi?

Nini tofauti ya msomi na asiye msomi?

Kusoma hakumuondolei mtu upumbavu kuna kusoma na kuelimika wengi wamesoma Ila hawajeelimika hujawai kumuona msomi anaweka vidore puani tena bila kitambaa anachokonoa uchafu?
 
Then ukipata maarifa ujinga unaisha?

Kuna wadau wamesema huko juu ujinga unaweza kuondoka ila upumbavu kuisha ni kasheshe
Ujinga hauishi
Kitendo cha kutojua baadhi ya mambo kinakufanya uwe mjinga. Na haiwezekani ukawa unajua kila kitu.
 
Elimu ya vyeti sio?
Kuna jambo huwa linanichanganya sana🤔

Je, elimu imekuongezea akili au imekuondolea upumbavu?

Kwa sababu nimeona watu wenye elimu za juu sana, vyeti vingi na majina marefu, lakini baadhi ya maamuzi yao yanakufanya ujiulize kama kweli elimu peke yake inatosha kumfanya mtu awe na akili

Unakuta mtu ni kiongozi ameshika nyadhifa mbali mbali ila ukitazama maamuzi yake unabaki na alama ya mshangao heh huyu si ni msomi?

Unajiuliza huyu elimu haikua na msaada kwake ?

Mbona anaamua,anaongea kama mjinga?


Wakati huo huo unakutana na mtu ambaye hakusoma sana au hakupata nafasi ya kusoma kabisa, lakini ana uwezo mkubwa wa kufikiri, kutatua matatizo na kuona mambo kwa upeo mpana kuliko hata baadhi ya wasomi

Hapo ndipo nikajiuliza, ni nini hasa kinachomfanya mtu aitwe genius na ni nini kinachomfanya aonekane mpumbavu?

Je, ni kiwango cha elimu?
Je, ni uwezo wa kufikiri?
Je, ni maamuzi anayofanya kila siku?
Au ni namna anavyojifunza kutokana na makosa yake?

Kwa mtazamo wangu, elimu inaweza kuongeza maarifa, lakini si lazima iondoe upumbavu

Maana kuna wasomi wapumbavu(hapa nisamehewe)

Na kutosoma sana si lazima kumfanye mtu akose akili

Wewe unaonaje?
Tofauti ya mtu mwenye akili nyingi na mpumbavu unaiona wapi?
Na elimu imekusaidia nini hasa kwenye hilo?

Chombezo( ni kua hata wapumbavu huzeeka)

ShesRise_1 🤚

It's Furahi deiiiiii💃
Kuna jambo huwa linanichanganya sana🤔

Je, elimu imekuongezea akili au imekuondolea upumbavu?

Kwa sababu nimeona watu wenye elimu za juu sana, vyeti vingi na majina marefu, lakini baadhi ya maamuzi yao yanakufanya ujiulize kama kweli elimu peke yake inatosha kumfanya mtu awe na akili

Unakuta mtu ni kiongozi ameshika nyadhifa mbali mbali ila ukitazama maamuzi yake unabaki na alama ya mshangao heh huyu si ni msomi?

Unajiuliza huyu elimu haikua na msaada kwake ?

Mbona anaamua,anaongea kama mjinga?


Wakati huo huo unakutana na mtu ambaye hakusoma sana au hakupata nafasi ya kusoma kabisa, lakini ana uwezo mkubwa wa kufikiri, kutatua matatizo na kuona mambo kwa upeo mpana kuliko hata baadhi ya wasomi

Hapo ndipo nikajiuliza, ni nini hasa kinachomfanya mtu aitwe genius na ni nini kinachomfanya aonekane mpumbavu?

Je, ni kiwango cha elimu?
Je, ni uwezo wa kufikiri?
Je, ni maamuzi anayofanya kila siku?
Au ni namna anavyojifunza kutokana na makosa yake?

Kwa mtazamo wangu, elimu inaweza kuongeza maarifa, lakini si lazima iondoe upumbavu

Maana kuna wasomi wapumbavu(hapa nisamehewe)

Na kutosoma sana si lazima kumfanye mtu akose akili

Wewe unaonaje?
Tofauti ya mtu mwenye akili nyingi na mpumbavu unaiona wapi?
Na elimu imekusaidia nini hasa kwenye hilo?

Chombezo( ni kua hata wapumbavu huzeeka)

ShesRise_1 🤚

It's Furahi deiiiiii💃
Msomi ni mtu yoyote aliyesoma akatunukiwa cheti Lakini haimaanishi kwamba ana akili, akili ni Kitu kingine kabisa kwanza akili haina mipaka Lakini pili mabeberu walitumia akili nyingi kuweka elimu ili msijitambue wawatawale kiurahisi ELIMU ni mfumo mbovu wa kwanza alafu unaofuatia DINI alafu AFYA.
 
Msomi ni mtu yoyote aliyesoma akatunukiwa cheti Lakini haimaanishi kwamba ana akili akili ni Kitu kingine kabisa kwanza akili haina mipaka
sawa
Lakini pili mabeberu walitumia akili nyingi kuweka elimu ili msijitambue wawatawale kiurahisi ELIMU ni mfumo mbovu wa kwanza alafu unaofuatia DINI alafu AFYA.
Hebu fafanua ki vipi elimu imekua mfumo mbovu kwetu

Elimu imetumika vp sisi kutawaliwa kirahisi?

Hapo kwenye dini na afya tutaendelea
 
sawa

Hebu fafanua ki vipi elimu imekua mfumo mbovu kwetu

Elimu imetumika vp sisi kutawaliwa kirahisi?

Hapo kwenye dini na afya tutaendelea
Utumwa unakuja pale ambapo unatunukiwa cheti maana yake uajiriwe na lazima uwe na cheti kuthibitisha elimu yako huo ni UTUMWA mwanzilishi wa hii platform Maxence Mello hategemei cheti kama nilivyosema hapo awali akili haina mipaka na hakuna binadamu aliyeweza kuitumia akili yake to the maximum mabeberu wanalitambua hili ndo maana wakaweka ELiMU Lakini labda nikuulize swali dogo tu ivi elimu ndo mafanikio au elimu ndo ufunguo wa maisha?
 
Utumwa unakuja pale ambapo unatunukiwa cheti maana yake uajiriwe na lazima uwe na cheti kuthibitisha elimu yako huo ni UTUMWA mwanzilishi wa hii platform Maxence Mello hategemei cheti kama nilivyosema hapo awali akili haina mipaka na hakuna binadamu aliyeweza kuitumia akili yake to the maximum mabeberu wanalitambua hili ndo maana wakaweka ELiMU Lakini labda nikuulize swali dogo tu ivi elimu ndo mafanikio au elimu ndo ufunguo wa maisha?
Asante sana
Elimu inaweza kukusaidia kufikia mafanikio yako kwa urahisi zaidi

Mf: ukasomea udaktari elimu hiyo itakupa ajira na mwisho kipato kwa urahisi zaidi na mwisho kufikia mafanikio yako unayotaka

Maxnce mello huenda elimu yake ilichangia pakubwa kuweza kufungua kufungua hii platform

We unadhani angefunguaje platform kama hii bila kujifunza namna ya kuiendesha
 
Back
Top Bottom