Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 12,936
- 38,029
Mkuu, The Da Vinci Code ni hadithi ya kubuni tu.Kutokana na tafsiri za hiyo picha inasemekana miongoni mwa wanafunzi wa Yesu Maria Magdalena naye alikuwemo.
Na alishiriki chakula na Bwana ambaye pia inasemekana alikua ni bwana wake na walizaa mtoto.
Hii nimeisoma kwenye kitabu cha the Davinc Code.
I do appreciate...Kwa haraka haraka....
Kwanza wengi hawafahamu kwamba kuna michoro mingi tu kabla ya huyu Leonardo Da Vinci kuzaliwa ilishachorwa na wachoraji wengine na ilikuwa tofauti na huu mchoro wa Da Vinci.....
Pili,hakuna anayejua kwa hakika kuwa Leonardo Da Vinci alikuwa akimaanisha nini kwenye michoro yake kwasababu hakuwahi kuacha maelezo kuelezea alichokuwa akikimaanisha.Kitu pekee ambacho nina uhakika nacho ni kwamba Leonardo Da Vinci alibuni mchoro huo kwa namna alivyouona na kufikiri yeye na huenda alikuwa na maana ambayo hakuna ajuaye....
Kwa maana hii,yote yanayohusu mchoro huu ambao ni wa kubuni nayo pia ni ya kubuni kwasababu hayana uhakika.Sijaona sababu ya msingi ya watu kuhangaika na mambo ambayo yamejengwa kutoka mchoro wa kubuni na usio na ukweli wowote...
Kama akija mtu na kusema kuwa huyu Da Vinci alikuwa anamaanisha chochote nje ya masuala ya Yesu huenda akasikilizwa kwa sehemu,lakini akija na kusema kuwa Da Vinci alikuwa anamaanisha chochote kuhusu Yesu hatasikilizwa kwasababu ni uwongo kwasababu Da Vinci hakuishi wakati wa Yesu na kwa maana hiyo alibuni tu huo mchoro,kama alibuni kitakachosemwa chochote kuhusu mchoro huo nacho kitakuwa cha kubuni tu....
Nikija kwenye unachotaka kuhusu mabaya aliyomaanisha Da Vinci kuhusu mchoro huo nitaeleza kwa kifupi kwa sababu sikujiandaa na hili na pia ni jambo ambalo halina uhakika pia kwasababu nilizozieleza hapo juu....
Karibu kwa ufupi..
Leonardo Da Vinci alizaliwa huko Italia tarehe 15 April 1452 na jina lake kamili ni Lionardo di ser Piero da Vinci.Leonardo Da Vinci alijulikana sana kwa taaluma yake ya uchoraji mahiri sana kwa wakati wake.Wakati wa ujana wake,Da Vinci na vijana wengine watatu walishitakiwa kwa kujihusisha na mahusiano ya kimapenzi ya jinsia moja.hii ilikuwa ni mwaka 1476.
Leonardo Da Vinci aliwahi kuwa msaidizi wa anayedaiwa kuwa mtoto wa Papa Alexanda wa 6 mwaka 1502 hadi October 18 1502.Borgia alizaliwa Sept 13,1475,huko Rumi.Wazazi wake wakiwa ni Papa Alexander na mwanamke aliyajulikana kama Vannozza Dei Cattanei....
Inadaiwa kwamba wakati Da Vinci akiwa ni msaidizi wa kijana huyu huko Rome,walianzisha mahusiano ya kingono ya kinyume na maumbile.Inadaiwa kwamba katika kipindi ambacho walikuwa kwenye mapenzi moto moto ndipo Leonardo Da Vinci alichora picha hizi za kubuni na kutokana na mapenzi yake kwa Borgia aliaamua kuchora sura ya Borgia kwenye umbo la mtu aliyebuni kuwa kama Yesu...
Picha hii maarufu inadaiwa kuchorwa kati ya mwaka 1499 na 1503...
Baadhi ya watafiti wanadai kwamba lengo lingine la mchoro wa Leonardo Da Vinci ni kutaka kuonesha kuwa Yesu hakuwa na Uungu wowote bali alikuwa ni mtu tu...
Jambo hili lilionekana kwenye michoro hiyo ambayo alichora michoro yake bila kuwawekea kitu kinachoitwa "Halo"..
Halo ni nini?
Halo ni ule mduara unaoonekana kichwani kwa mtu yoyote anayechukuliwa kuwa ni mtakatifu...
Angalia picha hizi hapa chini....
![]()
Mchoro wa Leonardo Da Vinci wa karne ya 15 ukionesha wahusika wa mchoro wakiwa hawana hiyo mizunguko vichwani mwao kuonesha utakatifu....
![]()
Mchoro wa karne ya 14 ukionesha karamu ya mwisho kama ulivyobuniwa na mchoraji kipindi hicho.Hapa tunaona wahusika wakiwa na "halo" au round fulani hivi vichwani mwao kuonesha "utakatifu" wao....
![]()
Mchoro mwingine wa karamu ya mwisho wa karne ya 14...
Ukiangalia michoro hii inatofautiana,lakini yote ni ya kubuni tu....
Kwa maana hii ni kwamba mchoro wa Da Vinci una maana mbili hasi na ambazo pia hazina uhakika au ushahidi sana au hakuna kabisa ushahidi wowote...
1;Mahali alipoamua kumchora mtu aliyepachikwa kuwa ni Yesu alimchora mtu huyo kwa sura ya Cecare Borgia...
2; Alichora p[icha hizo kuonesha kuwa Yesu hakuwa na Uungu wowote ule...
Ni hayo tu kwa ufupi sana....
Na dhani nimekata kiu yako kwa sehemu....
Sasa mbona umepaniki sana? Hapo suala sio la huyo mchoraji, suala je huyo aliekaa kushoto kwa Yesu ni nani? Nilidhani ungetoa jibu, kama hauna ungekaa kimya tu, wajuvi wa mambo watatujuza. Umebaki kulalamika kuhusu historia, umesahau hata Yesu alifundisha kwa kutumia mifano ili watu wamuelewe. Hoja yangu mifano ina mambo mengi, inaweza ukawa mfano aliouona, inaweza ikawa mfano aliotunga, au inaweza ukawa mfano aliosimuliwa, hapo suala ni mfano kiongozi!!Kuna mambo huwa yananisikitisha sana tena sana.....
Hii dunia ni yajabu kweli kweli.Yale mambo ambayo ni conspiracy yanaonekana ndiyo ukweli wenyewe na ukweli unaonekana ni conspiracy.Ukiangalia kwa mfano hili suala la hii inayoitwa picha ya last super,inajulikana ilichorea na mtu aliyeishi miaka mingi sana baada ya kuwepo kwa Yesu na inajulikana kabisa ni ya kubuni tu,ni kwanini watu wanaichukulia kwa namna kubwa kiasi hiki?
Mleta mada umetaka tuijadili picha hii,ni kwanini tuijadili wakati siyo kitu halisi na ni cha kubuni tu? Tena aliyebuni ni mtu tu na interest zake.Leonado da Vinci ni nani haswa hadi tuzingatie michoro yake kuhusu nyakati ambapo hakuwepo?
Ninachojua mimi huyu jamaa alikuwa ni mwanachama wa vyama vya siri na alikuwa anajua siri kadhaa ya vyama hivi na baadhi ya siri hizo aliziweka kwenye michoro yake kwa codes fulani fulani lakini hakuwa akijua lolote kuhusu maisha ya Yesu kiasi kwamba tumtilie maanani kwa kiwango hiki....
Kama tukague kile alichokuwa anakijua kuhusu haya mambo yao ya sirini hapo sawa lakini siyo kukagua michoro yake ya kubuni kama vile ni michoro halisi inayowakilisha maisha ya Yesu....
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji12] [emoji12] HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAUKRISTO
ALEXANDER,THE GREAT(actually the invader/barbarian)
Alexander,The Great(the barbarian,the invader) aliivamia Kemet(Misri) mwaka 332 BC na kumuondoa mfalme(farao) na yeye kuchukua kiti cha ufalme akiwa hajui chochote kuhusu mila na desturi za Misri.
Aliwalazimisha viongozi wa “dini” iliyokuwa inaabudiwa wamkubali katika dini yao,lakini walimkatalia.Alexander mvamizi alikufa mwaka 323 BC.
Mrithi wa Alexander ,Ptolemy I au Soter(maana ya soter ni mwokozi) naye alikataliwa kuwa sehemu ya “dini” ya wamisri wa kipindi hicho lakini katika mji wa Memphis alipata baadhi ya viongozi wa dini waliosaliti na kumkubali.Walimpa jina la SERAPIS kwa kuunganisha majina Osiris na hepis.Huyu Ptelomy I ndiye aliyetibua misingi ya imani ya wamisri wa kipindi hicho.
Ptolemy I au Soter au Serapis au Christus alijipa cheo cha farao,alitengeneza sanamu ya kichwa yenye sura yake na watu wote walilazimishwa kuabudu lile sanamu.Waliomwabudu serapis walikuwa wanaitwa wakristo(neon la Kigiriki Christus)
SERAPIS 350 BC
ARIUS(256-336 A.D)
Alikuwa mmoja wa viongozi wa dini chini ya utawala wa warumi aliyepaza sauti kuwa kuabudu sanamu la serapis haikuwa sawa hivyo watu wote waache kuliabudu.
MKUTANO WA NICEA 325 A.D(the council of nicea)
Uliwakutanisha viongozi wa juu wa dini chini ya uenyekiti wa mfalme Constantine na ajenda kuu ya kwanza ilikuwa ni kumnyamazisha Arius asiendelee kueneza sumu ya kupinga kumuabudu serapis.Katika kipindi chote kulikuwa hakuna mtu anayeitwa yesu(jesus),aliyeabudiwa alikuwa ni serapis soter au mwokozi kwa Kiswahili.
MAAZIMIO YA MKUTANO WA NICEA 325 A.D
Ambapo ilitolewa “statement” ya imani ya kikristo iliandikwa na makasisi(bishops?) wa kanisa la roma wapatao 318.statement(ambayo ni kanuni ya imani kwenye kanisa katoliki la roma) inasomwa ‘nasadiki kwa mungu baba mwenyezi muumba mbingu na dunia,na kwa yesu kristo mwanae wa pekee’(hapa anaongelewa serapis sanamu).
1.Kubadilisha sanamu la serapis na kuweka la yesu
2. Kumfukuza Arius(exile) asiendelee kupinga imani ya warumi
Tunaomba source ya kitabu iwe ni ya maisha ya yesu kipindi iko na imeandikwa pia kipindi iko.tofauti na hapo ni ujinga kusoma ujinga.ni sawa baada ya miaka 1000 mtu anaandika kitabu kuwa raisi wa kwanza Tanzania ni kleist sykes na sio nyerere alafu kizazi kingine kione ni sawa kwa ivo vitabu uchwaraKutokana na tafsiri za hiyo picha inasemekana miongoni mwa wanafunzi wa Yesu Maria Magdalena naye alikuwemo.
Na alishiriki chakula na Bwana ambaye pia inasemekana alikua ni bwana wake na walizaa mtoto.
Hii nimeisoma kwenye kitabu cha the Davinc Code.
Inaweza kitabu kingeandikwa hta kipindi hicho ila kingepotosha....me naona haya mambo ni imani tu ya mtu kama mtu, mfano mimi nshaamini yesu alikuja kwa ajili ya mpango wa Mungu kuokoa wanadam nikiwepo mimi so hayo mengine naacha tu yapte.....Tunaomba source ya kitabu iwe ni ya maisha ya yesu kipindi iko na imeandikwa pia kipindi iko.tofauti na hapo ni ujinga kusoma ujinga.ni sawa baada ya miaka 1000 mtu anaandika kitabu kuwa raisi wa kwanza Tanzania ni kleist sykes na sio nyerere alafu kizazi kingine kione ni sawa kwa ivo vitabu uchwara
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa una vitu special ila kwanin hutaki kutudondoshea maarifa humuKuna mambo huwa yananisikitisha sana tena sana.....
Hii dunia ni yajabu kweli kweli.Yale mambo ambayo ni conspiracy yanaonekana ndiyo ukweli wenyewe na ukweli unaonekana ni conspiracy.Ukiangalia kwa mfano hili suala la hii inayoitwa picha ya last super,inajulikana ilichorea na mtu aliyeishi miaka mingi sana baada ya kuwepo kwa Yesu na inajulikana kabisa ni ya kubuni tu,ni kwanini watu wanaichukulia kwa namna kubwa kiasi hiki?
Mleta mada umetaka tuijadili picha hii,ni kwanini tuijadili wakati siyo kitu halisi na ni cha kubuni tu? Tena aliyebuni ni mtu tu na interest zake.Leonado da Vinci ni nani haswa hadi tuzingatie michoro yake kuhusu nyakati ambapo hakuwepo?
Ninachojua mimi huyu jamaa alikuwa ni mwanachama wa vyama vya siri na alikuwa anajua siri kadhaa ya vyama hivi na baadhi ya siri hizo aliziweka kwenye michoro yake kwa codes fulani fulani lakini hakuwa akijua lolote kuhusu maisha ya Yesu kiasi kwamba tumtilie maanani kwa kiwango hiki....
Kama tukague kile alichokuwa anakijua kuhusu haya mambo yao ya sirini hapo sawa lakini siyo kukagua michoro yake ya kubuni kama vile ni michoro halisi inayowakilisha maisha ya Yesu....
Kumbe mnajijua eeeeh mnavyotupagawishaUtamu wa papuchi haujawahi mwacha mtu salama
Wanafunzi walikuwa 12 au 13?Kutokana na tafsiri za hiyo picha inasemekana miongoni mwa wanafunzi wa Yesu Maria Magdalena naye alikuwemo.
Na alishiriki chakula na Bwana ambaye pia inasemekana alikua ni bwana wake na walizaa mtoto.
Hii nimeisoma kwenye kitabu cha the Davinc Code.
Mbona mie simuon mwanamke?Sasa mbona umepaniki sana? Hapo suala sio la huyo mchoraji, suala je huyo aliekaa kushoto kwa Yesu ni nani? Nilidhani ungetoa jibu, kama hauna ungekaa kimya tu, wajuvi wa mambo watatujuza. Umebaki kulalamika kuhusu historia, umesahau hata Yesu alifundisha kwa kutumia mifano ili watu wamuelewe. Hoja yangu mifano ina mambo mengi, inaweza ukawa mfano aliouona, inaweza ikawa mfano aliotunga, au inaweza ukawa mfano aliosimuliwa, hapo suala ni mfano kiongozi!!
aliyevaaa nguo mfanano na yesu upande wa kushoto mwa picha mtu wa pili kushoto mwa picha karibu na yesu
Sasa mbona umepaniki sana? Hapo suala sio la huyo mchoraji, suala je huyo aliekaa kushoto kwa Yesu ni nani? Nilidhani ungetoa jibu, kama hauna ungekaa kimya tu, wajuvi wa mambo watatujuza. Umebaki kulalamika kuhusu historia, umesahau hata Yesu alifundisha kwa kutumia mifano ili watu wamuelewe. Hoja yangu mifano ina mambo mengi, inaweza ukawa mfano aliouona, inaweza ikawa mfano aliotunga, au inaweza ukawa mfano aliosimuliwa, hapo suala ni mfano kiongozi!!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji12] [emoji12] HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHA
Umenifurahisha leo sana.kila mtu ataleta historia yake ya imani ya kikristo humu na kuaminisha wanachofanya wakristo si sahihi,
Lakini mimi nitakujibu kwa hoja chache tuu mfano
1.imani ya ya king ptolemy haihusiani hata kidogo na imani ya kikristo,hata kama walijiita jina la "mwokozi" haimaanishi nao imani yao ni sawa na wakristo wa leo.
Imani ya wakristo wa leo imejikita katika mizizi ya Abraham Isack na Yacobo alafu pia katika kizazi cha mfalme Daudi ambaye aliahidiwa na Mwenyezi Mungu Ukuu wa kupitia Uzao wake.
2.Msingi wa kanisa katoliki kama ilivo imani yeyote ile ni haswa kuamini mwanzo wake.ile kanuni ya imani ni msingi wa kanisa linasadiki kwa baba Mwenyezi Mungu,Roho mtakatifu na Yesu kristo.hapo haliusiani na jambo jingine lolote la kusadiki tofauti na hapo.
Ushauri wangu kwako sitaki kujua wewe ni imani ipi haswa ila nakushauri jikite kusaidia kuondoa maouvu katika jamii iyo ndio thawabu ya wewe kufika mbinguni.
hatari ya dunia saivi sio wewe unasali wapi ila mauvu ya duniani.mimi au yule kuonekana nafata imani yako haimaanishi ni mtu msafi na sina uovu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilicho sahihi kwako hakiwezi kuwa sahihi kwa kila mtu.Tunaomba source ya kitabu iwe ni ya maisha ya yesu kipindi iko na imeandikwa pia kipindi iko.tofauti na hapo ni ujinga kusoma ujinga.ni sawa baada ya miaka 1000 mtu anaandika kitabu kuwa raisi wa kwanza Tanzania ni kleist sykes na sio nyerere alafu kizazi kingine kione ni sawa kwa ivo vitabu uchwara
Sent using Jamii Forums mobile app