Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,170
Kwa nini wote waluirunduikana upande mmoja wa meza wakiacha upande wa pili tupu.
Unaelewa nini juu ya wapinga Kristo..? Au unajua chochote kuhusu huyo Davinc na secret service..?Hapana siyo mimi hii niliisoma kwenye kitabu cha Davinc code
,kina tafsiri ya vitu vingi vingi vinavyotambulika katika ukristo.
Amejaribu kuvidadavua kwa uwazi zaidi.
Ila kikubwa ni kushikilia Imani yako.
Amini unachoamini yeye Da Vinc anaweza asiwe Sahihi ama akawa Sahihi,
Lakini haifai kubadili imani ya mtu.
Na huyo mtoto aliitwa Nani?Kutokana na tafsiri za hiyo picha inasemekana miongoni mwa wanafunzi wa Yesu Maria Magdalena naye alikuwemo.
Na alishiriki chakula na Bwana ambaye pia inasemekana alikua ni bwana wake na walizaa mtoto.
Hii nimeisoma kwenye kitabu cha the Davinc Code.
inamaana kumbe mungu baba alikula msamwanda duh ,mungu dhaifu kweli mpaka kufikwa na matamanio ya kuingiliana na mtumishi wakeMtoto mmoja tu ambaye alihamia Paris kama sijasahau,
kosa maana kaonesha kasoro ya kutokuhimili shahawa zake na sitoshangaa nkiskia mzee baba yesu alipiga p..nyeto
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]kosa maana kaonesha kasoro ya kutokuhimili shahawa zake na sitoshangaa nkiskia mzee baba yesu alipiga p..nyeto
Hapa unauliza swali ambalo hawana majibu. Tafsiri ya hii picha ni kama tunavyoweza kuangalia michoro ya Kipanya, haina maelezo na kila mtu huja na tafsiri yake,ila kungekuwa na nafasi ya kumwuliza mchoraji basi angeweza kusema jambo tofauti kabisa na lile watu wanalolisema.Nadhani ni wengi tumewahi kuisikia au hata kuiona picha maarufu duniani hasa kwa waumini wa dini ya kikristo ya THE LAST SUPPER iliochorwa na mtu anaedhaniwa kuwa miongoni mwa watu wenye akili nyingi (genious) kupata kutokea katika ulimwengu huu. Mtu huyo si mwingine ni LEONARDO DA VINCI.
Kimsingi wengi wetu mie nikiwa mmoja wao nilikua nadhani ni picha ndogo tu ya kawaida lakini inasemekana kwamba picha hio ina urefu wa futi 15 na upana wa futi 29. Vile vile kuna taarifa kwamba picha hio siku za nyuma ilikua ni siri na ilifichwa mpaka ilipofika yapata mwaka 1999 ndipo kwa mara ya kwanza iliwekwa kwenye maonyesho rasmi.
DA VINCI anajulikana kwa kutumia sana alama za siri kuficha jumbe mbalimbali katika sanaa zake. Na inasemekana hio ilitokana na na kuwepo kwa sheria kali kwa wale wote waliokuwa na mawazo tofauti dhidi ya roma katika kipindi cha renaisence
Turudi kwenye mada ya msingi;
Kwenye picha ya THE LAST SUPER inaonyesha yesu akipata mlo wa mwisho na mitume wake 12. Lakini kama tujuavyo miongoni mwa mitume 12 wa yesu hakuwa kuonekana mwanamke , wote walikua wanaume.
Lakini kwa upande wa kulia wa yesu katika picha hio anaonekana mtu anaedhani kwamba ni MARY MAGDALENE.
Swali la msingi ni kwamba
Je DA VINCI ALITAKA KUELEZA NINI KUPITIA PICHA HII KWA KUMUWEKA MTU AMBAE ANALETA UTATA WENGINE WAKISEMA NI MARY MAGDALENE LAKINI WAPO WANAOSEMA NI JOHN THE BAPTIST.
KARIBUNI.