- Thread starter
- #141
sawa,Hatujakataa hoja yako.
Tunakufahamisha usilo lijua (Ambalo halitangazwi).
lakini kama mtu unaishi na wengine wanaishi na miaka inakatika huoni wala kusikia kuna mtu akiwa kajifungua mbilimbi, kanyofolewa korodani/titi/penis, anauza biashara bila mwenyewe kuwepo na watu wanachukua wanachohitaji huku wakirudisha chenji wenyewe n.k tunaweza kusemaje?