Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 3,824
- 5,812
Well mtwara wanaishi watanzania na sio waarabu wala persians.Mbona Warabu na Persian wanauana kila siku?
Use your goddamn brain.
Well mtwara wanaishi watanzania na sio waarabu wala persians.Mbona Warabu na Persian wanauana kila siku?
Mbona kuna jamaa Yangu alimjaza mimba binti mmoja huko Masasi na hakumuoa lkn hawakumfanya kitu??.Nenda kamjaze mimba binti kule then ukatae utakuja kuniambia
Mkuu hizi ni nyodo na shombo za kike ambazo wanapaswa kuwa nazo wanawake.Unaanzaje kumuonea wivu mwanamke wa kimakonde?
Vifupi, sura imekoma na hawana shepu. Nishafika Mtwara na Lindi
Nyumba za kizamani bora hata Masasi kuna nyumba mpya
Cha kushangaza kutoka Dar mpk Mtwara 23,000
Dar to Lindi 23,000
Dar to Masasi 23,000
Kama matukio yanatokea na hayatangazwi wewe umejuaje kama yanatokea?Hakuna Cha ustaraabu wala Nini.
Watu wa huko bado wako primitive na hawana exposure.
So matukio yanatoka na hayatangazwi.
Ahaaa usimuige huyo shauri yakoMbona kuna jamaa Yangu alimjaza mimba binti mmoja huko Masasi na hakumuoa lkn hawakumfanya kitu??.
basi tuendelee kuzitafuta mkuu!... sidhani kama ni dini. Maana dini hizo hizo zilizoko kusini ndio hizo hizo zilizoko maeneo mengine ya nchi. Mbona hatusikii mauwaji ya kijnga kama hayo yakitokea Ulaya?
hakuna kiongozi, yaani ni nadra mno!Mi ni mwenyeji wa Mtwara na ni kweli sijawahi kusikia kwa hayo mengi unayoyasema.
Utotoni kulikua na imani kuwa ili usizae albino unatakiwa kujitemea mate kifuani unapomwona albino yoyote yule ingawa kwa kule wapo wachache sana!
hii sababu naona inataka kunishawishiUstaarabu na dini imesawasaidia sana huku ukanda wa pwani
nimetoka kapa hapa!MKIRU tu kule na ile ya....Deligado
Mwaka juzi Magufuli walimtengenezea moshi ambao hata haujulikani umetokea wapiNazungumzia Lindi na Mtwara haswa!
1. Kule husikii albino amechinjwa
2. Kule husikii wenye macho mekundu wameuawa kisa ni wachawi,
3. Kule husikii wenye upanja wamepigwa nondo ili zikatumike buchani
4. Kule husikii mtu amechunwa ngozi
5. Kule ni nadra kusikia wazazi, sijui mama, kutolewa uhai ili kuleta utajiri
6. Kule ni nadra kusikia makabila au koo wamepigana na kutoana uhai (ingawa kuna makabila mengi tu na yanapishana wakati mwingine),
7. Kule ni nadra kusikia mauaji ya kinyama kwa kisa cha mapenzi au kudaiana fedha
8. Kule ni nadra kusikia babu sijui mjomba amembaka mjuu/mpwa,
9. Kule ni nadra kusikia visa vya mabinti kutupa watoto chooni,
10. kule ni nadra kusikia binadamu ananyofolewa viungo ili vikauzwe vilete utajiri
11. Kule ni kawaida mgeni ukapokelewa na kuishi kama wananchi wengine bila wasiwasi n.k.
Wakati hali ikiwa hivyo, maeneo mengine kuna utofuti sana.
-Mauaji. JF kwa siku karibia nne au tano leo zimejaa thread za mauaji tu kwa visa vya mapenzi n.k. kisa cha hivi karibuni kuripotiwa ni hicho kilichotokea Tabora
-Ubakaji
-Utupaji wa watoto
-Ushirikina, kuna maeneo wazee eti wanakaa kabisa na kufanya tambiko ambapo mgeni anauawa kama kafara (mwalimu mmoja wa sekondari alikutana na dhahama hii sehemu fulani, alifuatwa akauawa na mwili wake kuchukuliwa kwenda kufanyiwa tambiko). pia, maeneo mengine tunaona na kusikia jinsi makaburi yanavyoenda kufukuliwa na maiti kutolewa na kurudishwa ilikotoka.....wafiwa wanaamka asubuhi wanakuta wamewekewa maiti ya ndugu yao waliomzika jana uwanjani.
na vingine vingi
Wajuzi/wafuatiliaji/ wasomi; sababu kubwa haswa ya hali hii ni nini? dini au?
Karibuni kwa uelimishaji.
rudi tena mkuu, nahisi umekaririshwa.........kule ni maarufu kwa watafuta utajiriWanauana kishirikina kuna sehemu imaitwa ngende
ahsante!Dini imechangia 100%
Kama ile " Mo energy" na supunimetoka kapa hapa!
kiongozi hizi ni stori za miaka ya 70 hizi; bila shaka umesimuliwa!Huko hakuna cha ustaarabu wala nini ukimuibia au kudhulumu mtu mahakama ni kilinge,utarogwa wewe na ukoo wako asibakie mtu,so watu wanaogopana,kuna vijiji ukienda na gari bila kuripoti kwa vizee fulani gari inazima yenyewe,au umpe binti mimba ukatae itaamia kwako
WamweraKuna watu hawa ni warefu ila ni wakazi na wazawa wa Masasi, si Wamakonde ila jina limenitoka, ni wasomi na ndio wanaoupaisha mkoa wa Mtwara. Sio wafupi kama Wamakonde, na wana sura ndefu na weusi chini ya macho. Kabila lake na Mkapa sijui akina nani. Wengi wapo kama Wamasai kwa sura na mionekano.
Sent using Jamii Forums mobile app
pale mbumbumbu na mlugaluga anapojihisi booooonge la mjanja huku akiwa kapiga buti za timberland!Huko ni uswekeni nani atafuatilia mambo ya huko ? Huko huwa tunafuatilia gas na korosho basi.
imenibidi nicheke tu kwanza!Hiyo ndo point. Hakuna pilika za pesa ndio maana pako hivyo ywani ni full umaskini.
Pili usambaaji wa taarifa na huduma za jamii mikoa hii bado ni shida sana
rejea post #116Habari zinaishiaga hukuhuko maporini, ni remote Sana hayo maeneo
ahsante mkuu!Sio Lindi na mtwara tu, karibia mikoa yote ya pwani watu wake hawana ubinafsi ambao ndio chanzo cha matatizo tajwa.