Nini kimekufanya usioe/usiolewe mpaka sasa?

Nini kimekufanya usioe/usiolewe mpaka sasa?

naona mko wengi sana masingle sasa si mjitahidi kuondoa hayo mapungufu muoe na kuolewa 🙂
 
Round hii wataalam wa make-up zaidi ya mapenzi...

Lipsticks zinawanyima ku-blow
Brazilians hawaniruhusu nichezee nywele (Too Expensive)
Face make-ups wananinyima kuchumu nitazi-ruin
Crop Tops naona viuno ila siruhusiwi kukishika ntafuta Temporary tatooes
Dressing tables zinakula 1/3 ya muda wote wa siku, cant make it on time (deal zinayeyuka)

Naona bado tu kama ntabaki na hamu zangu
 
tulipanga kuoana alisepa baada ya kunipa ujauzito......Ndo kasababisha niwe kwenye list ya waliochelewa kuolewa...DADEKI ZAKE!!!!
Pole hakua wako Mungu kakuepusha na kitu.. Yuko wako Mungu atakupa.
 
Naogopa kumegewa coz kuna jamaa yangu hapa mtaani demu wake anapigwa na wasugua kucha na jamaa hata hajui nami nataka siku moja nijpigie coz huenda ni raisi sana huyu shemeji
 
Back
Top Bottom