Nini kimekufanya usioe/usiolewe mpaka sasa?

Nini kimekufanya usioe/usiolewe mpaka sasa?

Mmoja wapo ni Mimi naogopa mno maisha ya ndoa japo c vyema kuchukulia ndoa nyingne kama case study bnafc nayaogopa sana napenda nmzalishe tu mtu nimlee akiwa kwake na Mimi nikiwa kwangu basi
Una miaka mingapi sasa?
 
Cha kwanza , nayachukia mapenzi mnooo, mbili nawachukia wanaumeee woteeeee, tatuuu sitaki kuolewa kwasababu sioni umuhimu wa hilo jambo....

Japo kuolewa ni heshima
Njoo kwangu Jovitha,hutojuta kwa kuwa ulipata uchungu wa mahusiano naamini hutokuja kumfanyia mme wako.
 
Uchumi mbaya sana,
Nani amekuwa tajiri peke yake? Subiri pesa hizo usipoangalia utaolewa ww, mtt wa kiume ukiona analalamikia pesa ujue anatafuta bwana!!! Vibarua vyote hivi unataka uajiliwe sio basi subiri.
 
Sitaki, tutaongea nn, sitaki kuwa kwenye mahusiano na mtu yeyotee napenda kuwa peke yangu
Sijasema nataka kuwa na wewe kwenye mahusiano, huwezi kuwa peke yako ni kwa muda tu hayo unayoyasema utakula kuyafuta
 
Back
Top Bottom