robat lameck
Member
- Nov 9, 2016
- 35
- 9
Kuvunjika kwa ndoa kila siku ndiy kuna nifanya nisioe
duhNaogopa kumegewa coz kuna jamaa yangu hapa mtaani demu wake anapigwa na wasugua kucha na jamaa hata hajui nami nataka siku moja nijpigie coz huenda ni raisi sana huyu shemeji
Hahahha hapa kwani kuna msiba mkuu?? [emoji2] [emoji2] [emoji2]Sijaolewa. Natoa pole kwa waliopatwa na maswahiba km msiba nk.
Kuna mtu aliandika kafiwa na mchumba wake.Hahahha hapa kwani kuna msiba mkuu?? [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Kuna mtu aliandika kafiwa na mchumba wake.Hahahha hapa kwani kuna msiba mkuu?? [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Haya mkuu ila hyo Id daah hata haifananii... Ngumu kweli[emoji16]Kuna mtu aliandika kafiwa na mchumba wake.
Nakuangalia tu!Ngoja nitulie hapa.. Naweza kupata mke
Mleta mada we umueoa? If not,why?[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji122] all the Best.
Hebu fanya haraka ujue.Mimi hata sijui....!
Asiwe msomi[emoji12] [emoji12]Unatumia vigezo gani kujua huyu ndio mtu sahihi!?
We umeoa? Maana naona unauliza maswali tuWeee umeolewa?? Maana naona unatoa pole tu.
Hahaaaaaa teh!We umeoa? Maana naona unauliza maswali tu
Hahaha kwani umeolewa mpaka uingilie??We umeoa? Maana naona unauliza maswali tu
Nakumiss!!!Hahaaaaaa teh!