Nini kimekufanya usioe/usiolewe mpaka sasa?

Nini kimekufanya usioe/usiolewe mpaka sasa?

Anakudanganya huyo....sitambui kma nimeachana nae, ukiona hivo kuna demu anamfukuzia

We jishaue....nakuona tu.
Nina majonzi ya kutopatikana kwa mume mwenzio Ben, nawe waniletea mapicha picha tu hapa.
kiwatengu usimsikilize mwaya
Ha ha ha ha ha...
 
Yaani kama yeye ni mchepuko basi na awe mchepuko wangu daima maana sio kwa mahaba anayonipa. Never seen before. Nampenda sana mpenzi wangu MO11, he is my happiness you know!
baeleze baelewe baby
 
Back
Top Bottom