Kiongozi kumbe bado?Mimi hata sijui....!
Hio ndio picha yako?siko kabisa kwenye mahusiano
Bado mkuu, si unajua heri ukosee kujenga kuliko kuoa.Kiongozi kumbe bado?
Safi sana.Shule
Sio sababu, uchumi sio unaooaa!Uchumi mbaya sana,
Acha basi mkuu mbona tupo wengi.mtu sahihi hajapatikana
Sio kweli, maana wapo wengi, hizo ni complications zako!sijampata mwandani wangu.
Je wewe mwenyewe ni sahihi?mtu sahihi hajapatikana
Nyie ndio mnaoharibu maadili ya jamiiHuwa Napata ukakasi sana ninapoona hilo swali hapo juu..! Hivi wazazi huwa wanataka Mjukuu ama Mtoto wao Aoe.? Yaani kipi cha muhimu Mtoto ama Ndoa.! Seriously mm naona kuwa na mtoto na wazazi wangu kuitwa Gran (Mom&Papa) ndo kina umuhmu sana kuoa mmhh may be mawazo yabadlike huko mbele
Wewe umezidi uchakubimbi!Mimi nina file na historia ya mapenzi ya kila mmoja hapa JF![emoji1]
Dah... Kwanini ufuge ng'ombe wakati una uhakika wa kupata maziwa daily[emoji13] [emoji13] [emoji13]Kama unahusika!!
Ni kipi hasa kilicho/kinachokuzuia usioe au usiolewe mpaka sasa...
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wewe umezidi uchakubimbi!
Na usitegemee ku settle maana hakupo hadi hapo Mungu anapomchukua mwanadamuUchumi tuu bado sija settle
HahaaaaaaaKuna shela nimeliona, nahisi litamfaa yule mdoli niliyekuletea juzi.