Nini kimekufanya usioe/usiolewe mpaka sasa?

Nini kimekufanya usioe/usiolewe mpaka sasa?

Mahari zimepanda. Na gharama za harusi zipo juu na demu anataka sherehe iwe kubwa na mm nlitaka cha mkeka nimalize kazi..
 
hahahhaah basi tuendele kumuomba Mungu atupe watu sahihi maana kama wewe ni sahihi unastahili kitu sahihi pia kitu sahihi anatoa Mungu tu
Lakini bila kutongoza kwa mie ME ni ngumu kupata.Inabidi nitongozetongoze sn.
Kwani ww unadhani ni yupi mtu sahihi kwako?
 
Back
Top Bottom