Mm nipomtu sahihi hajapatikana
Ha haa Ngabu ni wa DinaFile lako nililonalo kwa juu limeandikwa kwa rangi nyekundu:Status of relationship of Valentina with Nyani Ngabu is complicated!![]()
Oooh! Bby onaa watoto wa nyuma yakoOoh babe miaka yaenda mbio sana na sura yako nayo ikichujuka

kumbe sijaolewa hadi leo?Mimi nina file na historia ya mapenzi ya kila mmoja hapa JF!![]()
Anza weweBoyfriend hajawahi hata kutania kuhusu ndoa
bla hvo utabak kupokea tu cad za wenzioKwa kweli inabidi nijiongeze
Tunda n tamu hebu npe mm hyo nafac nitangaze ndoa mapema before hata cjala tundaYani we acha tu... Wanaume hapa hua wanatuweza... Hasa akishalizoea tunda
AiseeeNina umri wa kuchangia JF hapa ila mama yangu na baba hawajawahi kuoana
hahahaaNahisi ubavu wangu utakua ulipikiwa supu maana hata siuoni![]()
Hahahhh wapo lakini hawapo Mkuu. Shida ya ughaibuni kila mtu ni mgeni kwa mwenzake wakati nyumbani mnakuwa pamoja rahisi kufahamiana.Hiiii co sasahihi kbs kwan ughaibun hakuna wanaume mkuuu
yaan daa!!!!Poleeee mkuu unaonekana bdo ukona hacraaaa
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
hii laana uliomwachia cjui kama itamuaacha
Kwangu mimi sijapata mtu sahihi wa kuishi nae japokua umri umeenda,am a man aged 34Kama unahusika!!
Ni kipi hasa kilicho/kinachokuzuia usioe au usiolewe mpaka sasa...
AhahahahahMm kinachoni chelewesha kuoa n
Principle girl kuchelewa kukubali maombi yang
Dina alikupora jamani?Ha haa Ngabu ni wa Dina
