Nini kimekufanya usioe/usiolewe mpaka sasa?

Nini kimekufanya usioe/usiolewe mpaka sasa?

ndio nipo sahihi ndio maana nataka mtu sahihi sio kuondoka tu na kila mtu
Inawezekana uko sahihi ila hapo uangalie na umri wako,maana kuanzia miaka 30 na kuendelea kama wewe ni KE kupata mwenza huwa ni ngumu sana,wanachofanya wenzako huwa wana sacrifice,liwalo na liwe,na kuna baadhi kwa kufanya hivyo wanapata watu wanaokuwa wamewakusudia,ushauri wangu ni kuwa,just take a risk,sometimes if not all the time,it pays.
 
Inawezekana uko sahihi ila hapo uangalie na umri wako,maana kuanzia miaka 30 na kuendelea kama wewe ni KE kupata mwenza huwa ni ngumu sana,wanachofanya wenzako huwa wana sacrifice,liwalo na liwe,na kuna baadhi kwa kufanya hivyo wanapata watu wanaokuwa wamewakusudia,ushauri wangu ni kuwa,just take a risk,sometimes,if not all the time,it pays.
hahahhahahaha khaaaaa ushauri wako siwezi sema sio sahihi au ni sahihi ila umri hautanifanya nikurupuke kuolewa hata siku mmoja even if nina 35 now sitafanya hivyo coz hakuna mahali pameandikwa usipo olewa huendi mbinguni au hauta urithi ufalme wa mbinguni
 
Upatikanaji au kusex bila tabu ndio kunafanya watu wasioe/kuolewa laiti kama ingekuwa kuna kizuizi kuwa no marriege no sex wote tungeoa kinachofanya tusahau kufuga ng'ombe ni kwakuwa bila hata kufuga maziwa tunakunywa.
 
Inawezekana uko sahihi ila hapo uangalie na umri wako,maana kuanzia miaka 30 na kuendelea kama wewe ni KE kupata mwenza huwa ni ngumu sana,wanachofanya wenzako huwa wana sacrifice,liwalo na liwe,na kuna baadhi kwa kufanya hivyo wanapata watu wanaokuwa wamewakusudia,ushauri wangu ni kuwa,just take a risk,sometimes,if not all the time,it pays.
Kweli
 
Back
Top Bottom