kengeledoi
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 325
- 230
Mkuu wewe unaogopa kuoa kweli.Huwa Napata ukakasi sana ninapoona hilo swali hapo juu..! Hivi wazazi huwa wanataka Mjukuu ama Mtoto wao Aoe.? Yaani kipi cha muhimu Mtoto ama Ndoa.! Seriously mm naona kuwa na mtoto na wazazi wangu kuitwa Gran (Mom&Papa) ndo kina umuhmu sana kuoa mmhh may be mawazo yabadlike huko mbele
Ok. Hongera kwa usahihi wako.ndio nipo sahihi ndio maana nataka mtu sahihi sio kuondoka tu na kila mtu
Ndio maana naona umeganda hatuendi next step kumbe bado unatafuta?Ngoja nitulie hapa.. Naweza kupata mke
Hapana siogopi kuoa bali napenda kuwa huru.! Ninaisha na manzi in presumption soo najua kwa kiasi fulani ugumu wanaoupata wana ndoa..!Mkuu wewe unaogopa kuoa kweli.
Mars..Jinsia yako please?
Nahisi ubavu wangu utakua ulipikiwa supu maana hata siuoni [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kama unahusika!!
Ni kipi hasa kilicho/kinachokuzuia usioe au usiolewe mpaka sasa...
Ndiyo hii ninayoinywa mimi nini?[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Nahisi ubavu wangu utakua ulipikiwa supu maana hata siuoni [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Khantwe we si ulinikataa siku ile?Ndio maana naona umeganda hatuendi next step kumbe bado unatafuta?
Khantwe we si ulinikataa siku ile?Ndio maana naona umeganda hatuendi next step kumbe bado unatafuta?
Khaaa acha ulongo kama we ndo umeghairi semaKhantwe we si ulinikataa siku ile?