Nini kimekufanya usioe/usiolewe mpaka sasa?

Nini kimekufanya usioe/usiolewe mpaka sasa?

Leo usiku mchomekee kuhusu ndoa akichomoa nipm mimi, maana mwanaume akiwa katikati ya tendo ukimwambia chochote atajibu yes si unajua kichwa cha juu huwa kinazima kabisa cha chini ndo huwa kinafanya kazi .
Hahahaua atasema yes akisharudi kawaida sioni dalili
 
Huwa Napata ukakasi sana ninapoona hilo swali hapo juu..! Hivi wazazi huwa wanataka Mjukuu ama Mtoto wao Aoe.? Yaani kipi cha muhimu Mtoto ama Ndoa.! Seriously mm naona kuwa na mtoto na wazazi wangu kuitwa Gran (Mom&Papa) ndo kina umuhmu sana kuoa mmhh may be mawazo yabadlike huko mbele
V
 
tulipanga kuoana alisepa baada ya kunipa ujauzito......Ndo kasababisha niwe kwenye list ya waliochelewa kuolewa...DADEKI ZAKE!!!!
Poleeee mkuu unaonekana bdo ukona hacraaaa

[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] hii laana uliomwachia cjui kama itamuaacha
 
Back
Top Bottom