Huu ni ukweli?Paralysis of recurrent laryngeal nerve
mimi upande wangu nadhani mambo ya watu kuoa na kuolewa yameshapitwa na wakati
vijana wengi wameshapoteza muelekeo wa maishaa,

sasa unanibishia vipi. nakwambia sijapata wa kumuoa. haya niletee basi wa kumuoa.Sio kweli, maana wapo wengi, hizo ni complications zako!
Itabid uanzw wewe tu kumuuliza maana no wayBoyfriend hajawahi hata kutania kuhusu ndoa
Leo usiku mchomekee kuhusu ndoa akichomoa nipm mimi, maana mwanaume akiwa katikati ya tendo ukimwambia chochote atajibu yes si unajua kichwa cha juu huwa kinazima kabisa cha chini ndo huwa kinafanya kazi .Boyfriend hajawahi hata kutania kuhusu ndoa
Pole sana choupa moting
Ngoja nikuvutie upepotulipanga kuoana alisepa baada ya kunipa ujauzito......Ndo kasababisha niwe kwenye list ya waliochelewa kuolewa...DADEKI ZAKE!!!!
Pole sana...Boyfriend hajawahi hata kutania kuhusu ndoa
Haya ngoja nitupie pm namba ya mpesa![]()
weka tu nilinde ndoa nshatingwa![]()
proposal za wapi wewe mbona sijawahi kupata hata moja
Utakua SINGLE PARENT wewee....Huwa Napata ukakasi sana ninapoona hilo swali hapo juu..! Hivi wazazi huwa wanataka Mjukuu ama Mtoto wao Aoe.? Yaani kipi cha muhimu Mtoto ama Ndoa.! Seriously mm naona kuwa na mtoto na wazazi wangu kuitwa Gran (Mom&Papa) ndo kina umuhmu sana kuoa mmhh may be mawazo yabadlike huko mbele
I hope langu hunaMimi nina file na historia ya mapenzi ya kila mmoja hapa JF!![]()

Dada yakweli hayomtu sahihi hajapatikana
Bora kuliko Double alafu kila day malumbano na kupangiana ratba za kutoka na kuingia.Utakua SINGLE PARENT wewee....