Anza maandalizi mapema..wakati nipo kwenye umri wako hata mimi nilikuwa najisemea hivyo hivyo..ila saizi nipo 30's mambo bado bila bila!!Bado Tunasoma wengine... Na Umri Bado hujatimia.. tupo kwenye 20s. Tukifika 28-29 Nitaoa Kwa Kweli
Ameganda kama yule boyfriend wako ambae alikuwa anakuja kula gheto kwako halafu hachangii chochote kila kitu unanunua wewe!![emoji1]Ndio maana naona umeganda hatuendi next step kumbe bado unatafuta?
Yule bf ambaye mnasomana tabia?Boyfriend hajawahi hata kutania kuhusu ndoa
We me au ke?Sijaajiriwa halafu mbayaaaaaaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa mkuu mbona unafukua makaburi ya zamani mtu nlishamsahau hata sura yake inafananajeAmeganda kama yule boyfriend wako ambae alikuwa anakuja kula gheto kwako halafu hachangii chochote kila kitu unanunua wewe!![emoji1]
Mimi nina file na historia ya mapenzi ya kila mmoja hapa JF![emoji1][emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa mkuu mbona unafukua makaburi ya zamani mtu nlishamsahau hata sura yake inafananaje
Utakaoupata ukiona una ladha ya faru John ndiyo huo huo[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nipe radha ya wakwako ukoje ili nisjuitie
[emoji23] [emoji23] [emoji23] we noma ila sio kila mmoja...huwezi kujua habari za kila mtu utakuwa sio binadamu wa kawaidaMimi nina file na historia ya mapenzi ya kila mmoja hapa JF![emoji1]
Mimi meWe me au ke?
Tutaniane basi au?Boyfriend hajawahi hata kutania kuhusu ndoa
Naona unatega. Ndoano INA chambo lakini?Ngoja nitulie hapa.. Naweza kupata mke
Tupia jina/ID ya member yeyote wa JF ambae unataka nianike file lake hapa mkuu![emoji1][emoji23] [emoji23] [emoji23] we noma ila sio kila mmoja...huwezi kujua habari za kila mtu utakuwa sio binadamu wa kawaida
haaa hebu nipe ya kwangu loooh una katabia kama jina lakoMimi nina file na historia ya mapenzi ya kila mmoja hapa JF![emoji1]
[emoji23] [emoji23] unalipwa kwa hiyo kazi ama?Tupia jina la member yeyote wa JF ambae unataka nianike file lake hapa mkuu![emoji1]
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] unalipwa kwa hiyo kazi ama?
ney hata mie sijapata mtu sahihi.mtu sahihi hajapatikana
Wapi..ametega mikono yake tu sijui anadhani atanasa niniNaona unatega. Ndoano INA chambo lakini?