Usishinde vijiweni mkuu njoo tutembeze nguo mtaani.Tukipata kazi tutaleta mrejesho wacha tushinde vijiweni
Usishinde vijiweni mkuu njoo tutembeze nguo mtaani.Tukipata kazi tutaleta mrejesho wacha tushinde vijiweni
Wengi watasema walipafomu interview vizuriWanawake wengi hawatasema walivyopata kazi zao..
Naomba nafasi kama kijana mwenzio pia, nimesoma BA in Microfinance&Enterprise development
Iyo kazi naweza ifanya ila tu hapo ninapofanya iyo kazi wawe wanashughulika na kazi ya kada yangu (mechanical engineering)Samahani mkuu kukuuliza hivi.
Umesomea descipline ipi mkuu?. Nje ya kada yako unaweza kufanya kazi za kusogeza mabox masaa 9 ulipwe elfu 6 kwa siku?.
Jamaa kashahama bandarini, kaajiriwa TBA mwezi huu wa kuminamoja.
Ok njoo inbox nikupe .Iyo kazi naweza ifanya ila tu hapo ninapofanya iyo kazi wawe wanashughulika na kazi ya kada yangu (mechanical engineering)
ILA MKUU MIMI NILIKUWA NAHITAJI MAWASILIANO NA NDG. SITAYILA
Kweli mkuu.Kuacha / au kuhama haimaanishi connection za pale hazipo tena mkuu
Kwamba uhasibu kazi zipoo? Na zinapatikana kirahisi au sio mkuuDah kwa proffession yako mi nisingekubali kuwa mtaani..Binafsi naona hamna proffession rahisi kupata kazi kama uhasibu mkuu hata Diploma tu watu wanamenya.
Kuna dada mmoja kasoma Bachelor ya Kiswahili.. Yupo mtaani anatafuta kazi kwenye makampuni.. Nashindwa kumwambia kuwa kwa elimu yake ingekuwa rahisi kwa yeye kupata kazi iwapo angeenda kwenye mashule kutafuta kazi ya kufundisha!
Sasa anaendelea kuibemenda taaluma yake kwa kuendelea kukaa mtaani wakati uwezo wa kufundisha sarufi anao!
Hii kazi naipataje Mkuu.Samahani mkuu kukuuliza hivi.
Umesomea descipline ipi mkuu?. Nje ya kada yako unaweza kufanya kazi za kusogeza mabox masaa 9 ulipwe elfu 6 kwa siku?.
Umeamua kufanya maamuzi ya kiume mkuu, safi ajira ngumu kiukweli. Sema tukomae tu huenda mungu akatukunia nazi.Nimemaliza degree ya IT , niliomba ajira kila pahala ila nimeambulia patupu,utumishi ya serikali huko ndio nyumban kwan ilikuwa kila siku lazima nipitie portal yao, ninaitwa sana mpk oral ila sikuwahi kubahatika kupata, inafika pahala wanaweza kuitwa hata watu 3 hapo wanatakiwa 2 ila amini ndugu yangu siwezi kuitwa, nimesali sana na kuomba ila wapi, pale home wakaona ni mzigo kukaa pale kwani nikirudi nasimangwa kwa maneno mfano mbona fulani kapata kazi, ww unafeli wapi nk. Nikaona Isiwe tabu nikahama pale home nakaa gheto kwa sasa, kiufupi sasa hivi nauza matunda katika genge na mshikaji wangu niliesoma nae primary, na jioni nafanya betting maisha yanaenda. Sitakaa niombe tena Ajira yaan, najua kuna siku nitatoboa.
Haipatikani chuo chochote zaidi ya Chuo Cha Ushirika na mawakala wake Kizumbi hio kozi.Ushirika hii kama sijakosea
Haipatikani chuo chochote zaidi ya Chuo Cha Ushirika na mawakala wake Kizumbi hio kozi.
Yes, Ni ushirika Mkuu.hujawah nifundisha kweli, hadi kazi za Saccos na MFI zimekua ngumu sasa hiviHaipatikani chuo chochote zaidi ya Chuo Cha Ushirika na mawakala wake Kizumbi hio kozi.