Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 7,621
- 16,373
Hapanabetting unafanya?
Hapanabetting unafanya?
Haaaa wapi….sa hv npo ajira ya pili nasema ni Mungu tu nahisi ndo alikuwa anafanya interview yangu mi nliitwa tu kazini.😅😃....daaah unanikumbusha mbali sana adi leo Kwenye oral nikiona panel ya wale jamaa kiingereza kinanitoroka,na sijawahi bahatika kupata ya kiswahili.
Vipi lakini walikuajiri?
Upo ggm mkuu nkuone tuyajengee...Nikiwa mfugale bridge nyie mnaita fly over.nmepigika nasubl gar flan nichukue mzgo napigiwa sm na rafk yang kwamba kesho ingia ubungo njoo geita kuaza kaz usje hata na vyet...ONLY GOD knows.
Sio vizuri kufanya kazi kama hizo bila kusomeaWakuu mwenye conection ya kazi naomba jamani elimu yangu form four nlishafanya kazi kama cashier, receptionist kwenye mahotel, naombeni msaada wenu hali ni tete jamani